University of Dar es Salaam (UDSM) special Thread

iv jaman bachelor of Physical education and sport science,msomaji anaweza akafundishwa na masomo mengine ya Darasani kama mwalimu wa kawaida mashuleni
Ndio wanakuwa na teaching subject moja.kama sijakosea inaweza kuwa Biology/History/Kiswahili)mathematics.. afu inaitwa Bachelor of Education in Physical education and Sport sciences_BED PESS UDSM!!!
 
MiMi nimechaguliwa DUCE lakini sijatumiwa ama sijafaham naconfirm vipi maana nilichaguliwa multiply kwenye vyuo vi3 sasa

Nafanyaje ili kuweza kuconfirm kabla vyuo havijafunguliwa?

Naomba msaada.
 
Sasa hapa ndiyo nini kinafanyika kuhusu UDSM? Kama mdau naona hatukitendei haki. Pengine pangekuwa na muongozo fulani hivi bila shaka. Pakiwekwa vema panaweza kuwa eneo zuri sana kwa watu kufurahi na kukuza uelewa.
 
Nmeimiss cafe2 ugali choma, 1st year Am coming lin mnafunguaa tuje tupokee macontena🤣🤣
 
Ndugu wanajamii Forums nimeamua kuanzisha thread hii Mahususi kwa University of Dar es salaam yaani kiufupi kila kitu kinachohusu university of Dar es salaam.
Nimeamua kuanzisha mimi kama Mwana chuo kikuu cha DSM. Naombeni Ndugu zangu MODS msiifute Hii Thread Ahsanteni sana!

Kwa Kushirikiana na Wanazuoni wengine toka udsm tutaweka na tuta-update baadhi ya taarifa muhimu toka chuo hichi kongwe kwa kadri taarifa itakavyohitajika na jamii

Tunaomba Ushirikiano Wenu!


Nembo ya Chuo!

View attachment 502120
Business School
View attachment 502121
Msaada wakuu kwa walioweza kuapply udsm merit scholarship 2019/2020 msaada mimi nimeshindwa na nahitaji!!
 
Ubungo jeshini niijuayo mimi ni ya Kibangu, barabara ya Kibangu ndio kiunganishi cha Ubungo jeshini hadi Riverside ukifika Riverside hata ukimuuliza mtoto wa miaka mitano anakuelekeza Mabibo Hostel ilipo

Isitoshe Ubungo jeshini iko mbele ya Mabibo Hostel, hata kwa google map unafika...
 
Ubungo jeshini niijuayo mimi ni ya Kibangu, barabara ya Kibangu ndio kiunganishi cha Ubungo jeshini hadi Riverside ukifika Riverside hata ukimuuliza mtoto wa miaka mitano anakuelekeza Mabibo Hostel ilipo

Isitoshe Ubungo jeshini iko mbele ya Mabibo Hostel, hata kwa google map unafika...
Shukrani boss
 
Back
Top Bottom