Zehoes
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 503
- 331
Rudi nyuma kwenye huu uzi hadi kwenye post ya 1783 ama 1784 yapo hapoMkuu tupia hayo majina ya udom
Rudi nyuma kwenye huu uzi hadi kwenye post ya 1783 ama 1784 yapo hapoMkuu tupia hayo majina ya udom
Tatizo nini mkuu?Aiseee hiki chuo ndo maana nakichukia
Tatizo hakijatoa majina Paka sa hivi.... Alafu dogo Ana pressure hapaTatizo nini mkuu?
Yapo ya multiple admissions na hata yaliyopo yanaonyesha pages143 lakini ukianza kuangalia yapo nusuRudi nyuma kwenye huu uzi hadi kwenye post ya 1783 ama 1784 yapo hapo
Chuo gani tenaTatizo hakijatoa majina Paka sa hivi.... Alafu dogo Ana pressure hapa
UdomChuo gani tena
Et kutafuta mikosi hahahSema na wewe dogo unamshwamshwa... Hivi wewe unadhani waliomo humu JF wascreenshot matokeo yao ya selection na wayapost si patachafuka humu ndani... Ujuaji saa ingine sio deal wewe kama umechaguliwa Engineering yako Kausha na Mshukuru Mungu kwani ndio wa kwanza wewe kuchaguliwa Sio Kutupostia Screenshot zako na Kucompare vyuo kusio na maana.... Utashangaa aliechaguliwa UDOM akamaliza chuo wewe unaetambia na UDSM yako Ukadisko utamlaumu nani kama sio kutafuta mikosi...
Muachage umamamama..... MFYUUUUUUUUU
Yametoka mbona mkuu hufuatili nyuzi vizuriUdom
Mbona multiple hayaYametoka mbona mkuu hufuatili nyuzi vizuri
Pakua hapo
Mkuu mbna file lote n mojaSt. john mambo tayari hapa...
Soma mpaka mwishoMbona multiple haya
Haya hapa ambayo sio ya multiple.Mbona multiple haya
Mkuu kuanzia page 99pacent haifungukHaya hapa ambayo sio ya multiple.