Update: Marehemu Clemence Mtenga aliuawa Oct 7 na hakuwa kati ya mateka waliopelekwa Gaza. Taarifa zaidi zinaendelea hapa chino

biabia

Senior Member
Nov 18, 2023
193
242
Kumradhi kwa taarifa ya mwanzo niliyoleta kwenye uzi uliopita. Clemence alikuwa mmoja kati ya watu waliouawa kwenye uvamizi katika kibbutz Nahal Oz October 7 mwaka huu. Inavyoonekana ni kwamba watu wengi ambao ni raia wa Israel au raia wa nje bad hawajulikani walipo.

Mfano mwanadada Shani Gabay aliedhaniwa kuwa ni mateka, mwili wake ulitambulika siku ya jana kama sijakosea. Inawezekana kuwa miili ipo katika hali mbaya kiasi cha kushindwa kuitambua kwa haraka au idadi ya watu waliokufa ni wengi inabidi wafanye cross check na mabaki ya miili waliokusanya.
Source:

======
The body of a Tanzanian student who went missing in Israel after the bloody Hamas attack last month is due to be returned home on Sunday, his family said.

Clemence Felix Mtenga, 22, was one of two Tanzanians reported missing after the unprecedented October 7 attack that saw around 1,200 people killed and at least 240 taken hostage, according to Israeli officials.

In response to the deadliest attack in its history, Israel launched an air, artillery and naval bombardment alongside a ground offensive to destroy Hamas, killing nearly 15,000 people, according to the Hamas government in Gaza.

Tanzania's foreign ministry confirmed Mtenga's death in a statement on November 18, but did not say how he had been killed.

"We were to receive the body today but there are changes. We expect to have it tomorrow," his sister Christina Mtenga told AFP by phone on Saturday.

She said the funeral would take place on Tuesday in the family's home district of Rombo in the Kilimanjaro area of northern Tanzania.

Her brother was supposed to graduate this week from the Morogoro university in eastern Tanzania where he studied a degree in horticulture.

"It's a hard situation but we are coping," Christina said. "Clemence was polite, serious and hard working. He was religious and loved other people."

Mtenga and another Tanzanian student, Joshua Mollel, 21, went to Israel in September for an internship programme in agriculture but both went missing after the October 7 attack.

The head of Israel's international development agency Eynat Shlein had said on X, formerly Twitter, that Mtenga "was murdered by Hamas terrorists on Oct 7".

Tanzania's foreign ministry said in its update last week that Mollel was still missing.

The two students were among about 260 Tanzanian youths who went to Israel for an internship in modern farming, which is a partnership programme between the two countries.

Many of the places worst affected by the Hamas attacks were Israeli agricultural communes lining the region bordering the Gaza Strip.
 
Kumbe huyo huyo kijana aliuwawa na shambulizi la Hamas walilofanya Israel.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Hamas hawajashambulia hilo Eneo wao wenyewe press Conference yao wamesema hawakujua kama kuna Concert inafanyika, Walichukua tu kama Advantage,

Hii source Police Israel wakikiri waliua watu kwenye Concert


Magari yaliyoungua kuonesha kwamba Si Hamas



 
Back
Top Bottom