Kwa upeo wangu na jamii iliyopo UKEREWE;- CHADEMA wampe MSAFILI (Bob MUSA aka. chawata),maana atawanyoosha mafisadi wote na UKEREWE litapata maendeleo yanayotafutwa!!
ISRAEL MARTIN KIDUKO-Mufindi Kusini.Kuna haja sasa ya watu ambao wameguswa na kupata uchungu wa namna rasmali za Taifa zinavyofujwa hovyo na WAJASILIATUMBO kusimama na kusema sasa basi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.