Dam55
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 5,592
- 11,831
Wasalaam.
Suleman alipo pewa na Mungu nafasi ya kuomba chochote yeye aliomba hekima.
Je kwa haya maisha ya sasa Mungu akikupa nafasi uombe chochote utaomba nini chenye manufaa kwako na kwa wanao kuzunguka.?
Mwenzi wako akikuambia " najua kuna mengi unatamani nikufanyie lakini sina uwezo wa kutimiza yote lakini niombe kitu kimoja tu ambacho kitakupa furaha siku zote na sita acha kukifanyia"
Je utaomba nini?
Tuambie namna wewe unavyoweza kufanya uchaguzi sahihi pindi unapopewa nafasi kama hizi ili tujifunze kwako.
Ahsante.
Suleman alipo pewa na Mungu nafasi ya kuomba chochote yeye aliomba hekima.
Je kwa haya maisha ya sasa Mungu akikupa nafasi uombe chochote utaomba nini chenye manufaa kwako na kwa wanao kuzunguka.?
Mwenzi wako akikuambia " najua kuna mengi unatamani nikufanyie lakini sina uwezo wa kutimiza yote lakini niombe kitu kimoja tu ambacho kitakupa furaha siku zote na sita acha kukifanyia"
Je utaomba nini?
Tuambie namna wewe unavyoweza kufanya uchaguzi sahihi pindi unapopewa nafasi kama hizi ili tujifunze kwako.
Ahsante.