Kungurumweupe
JF-Expert Member
- Jun 17, 2008
- 317
- 103
Mkuu Gaijin,
Ni kweli Chenge anaweza kuwa na kosa la kishirikina, LAKINI SI KOSA KISHERIA.
Ni kweli Chenge anaweza kuwa na kosa la kishirikina, LAKINI SI KOSA KISHERIA.
bwana Peter kivuyo,hufai hata kwa kulumangila,kama ndio ninyi mnao tegemewa na taifa basi ndio maana hakuna tunalofanikiwa.Ni aibu tena kubwa na ya mwaka kusema maneno kama hayo mbele ya waandishi makanjanja ambao nao wamekuwa kama wabunge wa ccm wanaoshindana kugonga meza bungeni.
Hivi hata mtu mmoja hakumuuliza swali la kijinga tu.iweje ukumbi uendele kutumika wakati bado uchunguzi unaendelea.