jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,990
- 22,523
Hakuna cha sumu wala nini...Matapeli mafioso hawa!
Huo unga unga wameuweka wakataka kuutupa na sasa baada ya mambo kuwabana...Wanataka waulete!
Kama ni unga wenye kuua wa sumu ya kisayansi...Je Chenge mwenyewe alikuwa amevaa masks ama chochote cha kukinga radiations ama Inhilation?
Huo unga unaobebwa bebwa na kila mtu huku na kule huku ukionjwa onjwa ni unga wa ngano nini?
AMA NI GLUCOSE?
Huo unga unga wameuweka wakataka kuutupa na sasa baada ya mambo kuwabana...Wanataka waulete!
Kama ni unga wenye kuua wa sumu ya kisayansi...Je Chenge mwenyewe alikuwa amevaa masks ama chochote cha kukinga radiations ama Inhilation?
Huo unga unaobebwa bebwa na kila mtu huku na kule huku ukionjwa onjwa ni unga wa ngano nini?
AMA NI GLUCOSE?