tumezoea kuona wanawake wengi baada ya kujifungua wanakuwa km wamefunguliwa kunenepa/kufutuka,ambapo kwa watu km sie wanawake wanene hatuwapendi na pia kama nimeshasababisha siwezi kumwacha kwajili hiyo japo nitaboreka.hivi wadada hamuwezi kumentain miili yenu mbali na kufanya mazoez?