UtdProfile_
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 255
- 310
Mienendo ya Simba na Yanga, kwa Upande wako unadhani nanii anatabiriwa makubwa kwa huu msimu 2023/2024?
Unachekesha sana, relax braza afu comment tena na tenaYanga ina madeni mengi yakujitakia
Simba ina wachezaji wazuri ila mfumo wa kocha bado haueleweki.
Simba atachukua kombe, Yanga atakuwa kwenye migogoro ya madeni huko FIFA.
Max anaitumia Yanga kama ajira portal, anaomba kazi kijanja pale Simba anafikiri sis wajinga hatujui kutafsiri mambo.
Hahahahahahahahahahhahahahahahahaha......Yanga ina madeni mengi yakujitakia
Simba ina wachezaji wazuri ila mfumo wa kocha bado haueleweki.
Simba atachukua kombe, Yanga atakuwa kwenye migogoro ya madeni huko FIFA.
Max anaitumia Yanga kama ajira portal, anaomba kazi kijanja pale Simba anafikiri sis wajinga hatujui kutafsiri mambo.
Yanga ina madeni mengi yakujitakia
Simba ina wachezaji wazuri ila mfumo wa kocha bado haueleweki.
Simba atachukua kombe, Yanga atakuwa kwenye migogoro ya madeni huko FIFA.
Max anaitumia Yanga kama ajira portal, anaomba kazi kijanja pale Simba anafikiri sis wajinga hatujui kutafsiri mambo.
Komenti nyingine ni za utani tu, Msije mkawa mnahemuka.Je Simba atachukua kombe kwa kocha huyo huyo msiyemuelewa mfumo wake au mtafukuza kocha? Yanga ni timu na sio mchezaji mmoja kwahiyo kama ilivyokuwa kwa Mayele, Feitoto, Bangala, Nabi na Djuma Shabani ndivyo itakavyokuwa kwa Max. Kuondoka kwake haitoitetelesha Yanga. Watasajiliwa wachezaji wengineo
Anayo nafasi ya kuweza kuibadilisha timu.Je Simba atachukua kombe kwa kocha huyo huyo msiyemuelewa mfumo wake au mtafukuza kocha? Yanga ni timu na sio mchezaji mmoja kwahiyo kama ilivyokuwa kwa Mayele, Feitoto, Bangala, Nabi na Djuma Shabani ndivyo itakavyokuwa kwa Max. Kuondoka kwake haitoitetelesha Yanga. Watasajiliwa wachezaji wengineo
Haihitaji utabiri.. Simba imeshaanza kukusanya Mataji..Ina Ngao mkononi.Mienendo ya Simba na Yanga, kwa Upande wako unadhani nanii anatabiriwa makubwa kwa huu msimu 2023/2024?
Kweli aliyewaita Mbumbumbu hakukosea.Yanga ina madeni mengi yakujitakia
Simba ina wachezaji wazuri ila mfumo wa kocha bado haueleweki.
Simba atachukua kombe, Yanga atakuwa kwenye migogoro ya madeni huko FIFA.
Max anaitumia Yanga kama ajira portal, anaomba kazi kijanja pale Simba anafikiri sis wajinga hatujui kutafsiri mambo.
Mi sibishani na shabiki ambaye timu yake haishiriki African Football League.Kweli aliyewaita Mbumbumbu hakukosea.
Eti "simba ina wachezaji wazuri!"! Ni nani hao kwa mfano!!! Halafu eti "mfumo wa kocha hauleweki"!!! Kwa hiyo unataka tuwatafutie kocha wa kuwaletea mfumo mzuri?
🤣Yanga ina madeni mengi yakujitakia
Simba ina wachezaji wazuri ila mfumo wa kocha bado haueleweki.
Simba atachukua kombe, Yanga atakuwa kwenye migogoro ya madeni huko FIFA.
Max anaitumia Yanga kama ajira portal, anaomba kazi kijanja pale Simba anafikiri sisi wajinga hatujui kutafsiri mambo.
Ngao kama ngaoHaihitaji utabiri.. Simba imeshaanza kukusanya Mataji..Ina Ngao mkononi.