Hammy Js
JF-Expert Member
- Sep 20, 2017
- 3,054
- 3,255
Ilitakiwa iwe vice versa?Kama sikosei maelezo yako yamepishana.
Ilitakiwa iwe vice versa?Kama sikosei maelezo yako yamepishana.
koh mpaka mchungaji ameshindwa kutabiri inavyotakiwa!!dada yangu wamemtabiria kiume watu wote wanao mzunguka hadi wachungaji na sura ya mzazi ilikuwa kama kalai ya zege iliyokaukia lakini kazaliwa mtoto wa kike
Hapa naweza kukubaliana na wewe mana hata kwa Kuku ni hivyo hivyo. Yai lenye mchongoko linatoa jogoo, mviringo kabisa linatoa jikeKwa hisani yawa Korea inasema Kama mtoto ni wa kiume Mama huwa na tumbo lililochongoka chini ya kitovu kinyume na hapo ni Ke.
Unasubiri nn kupata ujauzito...
hahaa daaahhBaking soda itagoma kuingia ndanivya glass
Njoo tuyajenge basiSoma vizuri Ecclesiastes chp 3:1-14
Kwenye biblia ya kiswahili hope ni mhubiri kama sikosei.
Naomba kujua ulipata jinsia gani?Heshima kwenu wakuu,
Mke wangu mjamzito wa miezi sita, amekuwa akipenda sana kuwa na mtoto jinsia ya kike hivyo ikabidi nimshauri asiende kuangalia jinsia ya mtoto kwenye ultra sound mpaka pale atakapozaliwa.
Lengo la kushauriana hivyo ni kwamba endapo akiangalia na akaona ni jinsia ya kiume pengine upendo unaweza pungua tokea mtoto akiwa tumboni mpaka pale atakapokuja kukubali. Yaani anapenda mtoto wa kike to the maximum
Binafsi nipo tayari kwa jinsia yoyote ile japo nina ham sana ya kufahamu jinsia yake ila sipendi mwenzangu afahamu jinsia kutokana na mapenzi yake, hivyo wakuu ningependa kufahamu njia mbadala ya kutambua jinsia hata kama sio 100% perfect.
Jinsi alivyo kwasasa: Mtoto ana kick sana tumboni mpaka tumbo linatingishika, mke anakula sana, hana hasira, wivu umeongezeka na kunijali sana. Mkiniuliza swali lolote nitawajibu, twende kazi.
Naomba kujua ulipata jinsia gani?Heshima kwenu wakuu,
Mke wangu mjamzito wa miezi sita, amekuwa akipenda sana kuwa na mtoto jinsia ya kike hivyo ikabidi nimshauri asiende kuangalia jinsia ya mtoto kwenye ultra sound mpaka pale atakapozaliwa.
Lengo la kushauriana hivyo ni kwamba endapo akiangalia na akaona ni jinsia ya kiume pengine upendo unaweza pungua tokea mtoto akiwa tumboni mpaka pale atakapokuja kukubali. Yaani anapenda mtoto wa kike to the maximum
Binafsi nipo tayari kwa jinsia yoyote ile japo nina ham sana ya kufahamu jinsia yake ila sipendi mwenzangu afahamu jinsia kutokana na mapenzi yake, hivyo wakuu ningependa kufahamu njia mbadala ya kutambua jinsia hata kama sio 100% perfect.
Jinsi alivyo kwasasa: Mtoto ana kick sana tumboni mpaka tumbo linatingishika, mke anakula sana, hana hasira, wivu umeongezeka na kunijali sana. Mkiniuliza swali lolote nitawajibu, twende kazi.
umenena kitu halisia kabisa.Viashiria vya uwezekano Wa mtoto Wa kiume
1. Mtoto huanza kucheza tumboni wiki ya 20
2. Mke humchukia/havutiwi na Mme wake
3. Ngozi ya mzazi huharibika (harara)
4. Kawaida ya mtoto wa kiume ana michezo michache, wakati mwingine anaweza pitisha siku nzima bila kucheza. Au akicheza anacheza kwa muda mfupi saana.
Dalili za mtoto Wa like
1. Mtoto huanza kucheza tumboni wiki ya 16
2. Mke humpenda zaidi Mme wake
3. Ngozi ya mzazi hung'aa zaidi na kupendeza
4. Mtoto Wa kike hucheza Kwa muda mrefu kati ya dakika 5-30. Na Kwa siku anacheza mara kadhaa, hasa kila akitulia tulii, hasa akilala chali.
Hitimisho.
Pima wastani wa vigezo hivyo vyoote kisha utapata jibu. Mie nilitumia vigezo hivyo na havikunidanganya.
Kutokana na maelezo yako, tarajia kupata mtoto Wa kike
Mbona naskia wa kiume ndo mama kija ana glowWa kike huyo...
Mtoto wa kiume ana tabia ya kuchafua uso