Zuia Sayayi JF-Expert Member Mar 28, 2011 841 133 Apr 3, 2012 #7 Kama niko addict na jf Bora nioe kuliko kuwa Bachara
kandidus Member Feb 6, 2012 70 17 Apr 3, 2012 #9 Amavubi said: View attachment 50864 nawaachia wadau mtoe maoni Click to expand... Ni dalili za kuchanganyikiwa!
Amavubi said: View attachment 50864 nawaachia wadau mtoe maoni Click to expand... Ni dalili za kuchanganyikiwa!
S Spear_ JF-Expert Member Dec 29, 2010 1,603 486 Apr 3, 2012 #11 Zuia Sayayi said: Kama niko addict na jf Bora nioe kuliko kuwa Bachara Click to expand... hapo kwenye Red ulimaani Kachala....Bachelor.....au Basha??
Zuia Sayayi said: Kama niko addict na jf Bora nioe kuliko kuwa Bachara Click to expand... hapo kwenye Red ulimaani Kachala....Bachelor.....au Basha??
Cantalisia JF-Expert Member Sep 26, 2011 5,222 2,925 Apr 3, 2012 #12 Kichaa sio lzm atembee bila nguo!!
mwakaboko JF-Expert Member Sep 17, 2010 1,929 757 Apr 3, 2012 #13 Bangi mbaya, vijana mnaambiwa hamsikii, haya ndiyo matokeo yake:tape2:
RasJah JF-Expert Member Nov 5, 2009 703 64 Apr 3, 2012 #14 huyu kalikoka lile lenyewe la kigali msokotoka kama kidole gumba
Joss JF-Expert Member May 28, 2009 765 191 Apr 3, 2012 #16 labda kuna inshu ya muhimu alikuwa anasikiliza live,mf. ufunguzi wa kampeni za CDM, halafu anahitajika kupika, so what can he do?!....
labda kuna inshu ya muhimu alikuwa anasikiliza live,mf. ufunguzi wa kampeni za CDM, halafu anahitajika kupika, so what can he do?!....
tembeleh2 JF-Expert Member Jul 27, 2010 765 165 Apr 3, 2012 #17 Huyu anachaji computer yake kwa kutumia nishati asilia.
Mtagwa lindi JF-Expert Member Mar 12, 2012 311 96 Apr 3, 2012 #18 Hataki kupitwa na k2 kwani kazi zote zinaenda ila nahc kuna msukumo wa noxious plant!