kwa sababu anafanya hivyo?ili watu wajifunze?Sishangai kwasababu jamaa ni maarufu
Watu maarufu wanaweza kufanya mambo mengi ambayo sisi wa kawaida hatuwezi
kwasababu ni maarufu, hawezi ishi kama wenginekwa sababu anafanya hivyo?ili watu wajifunze?
Picha linaanza unaanzaje kuvaa sketi dume la kibantu?Hivi wavuta bangi nao ni watu wakufuatwa?
Mbona domo anavaa hereni puani au kwako tatizo ni sket au unalinginePicha linaanza unaanzaje kuvaa sketi dume la kibantu?
Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
BangeeMsanii Harmonize amepost video inayomuonyesha akifanya jambo ambalo sio la kawaida kwa walio wengi.
ANGALIA VIDEO HAPA
View attachment 2890767
Je, wewe unaweza kukunja nguo za mpenzi wako na kuzipost mtandaoni?
Written by Mjanja M1 ✍️
Msanii Harmonize amepost video inayomuonyesha akifanya jambo ambalo sio la kawaida kwa walio wengi.
ANGALIA VIDEO HAPA
View attachment 2890767
Je, wewe unaweza kukunja nguo za mpenzi wako na kuzipost mtandaoni?
Written by Mjanja M1 ✍️