Darvis Wantana
Member
- Feb 8, 2024
- 5
- 3
Jamani ivi kijana mwenye 33 hawezi ajiriwa kama Askari?
ConnectionKama ana PhD ya cyber security na alipitia JKT ataajiriwa
Wakati mwingine maadui wetu ndio wale tunaowaita ni marafiki, was it necessary kueleza hili hapa?connectio mze kuna mwanangu ana 38 yupo ccp sahiz anakaribia kumaliza but elimu yake ni masters sijajua kama ametumia hiyo ila hakufanya usahili alienda kama babakntuma tuu
hiyo ni motivation kwa wengine tuu mkuu kwani katajwa jina mtu hapa au unazani alienda pekeyake kwa namna hiyo,tunatiana moyo tuu humu watu wajue nao wanaweza wakafika hukoWakati mwingine maadui wetu ndio wale tunaowaita ni marafiki, was it necessary kueleza hili hapa?