Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,226
Jamani fedha zimetengwa na mmekabidhiwa mnaziweka ofisini kama mapambo huku wafanyakazi wanafanya kazi ngumu halafu hamuwalipi, mimi nataka kusikia fedha zimeisha tujue jinsi ya kuongeza, kinyume na hapo mnataka niwafukuze kazi, tena mwambie huyo Shekimweli nataka ifikapo mwezi Oktoba naanza kutoa huduma hii, alisema na kuongeza:
Come october hii project isipoanza ivi mtamlaumu waziri au viongozi wa mashirika haya!UKishapata jibu utajua ni kwa nini alifanya surprise visit imagine hela wanazo na wafanyakazi hawapewi posho angekuwa ofisini angejua hili
Come october hii project isipoanza ivi mtamlaumu waziri au viongozi wa mashirika haya!UKishapata jibu utajua ni kwa nini alifanya surprise visit imagine hela wanazo na wafanyakazi hawapewi posho angekuwa ofisini angejua hili