Zainab Tamim
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 1,293
- 578
- Thread starter
- #541
Nilichukua Namba zenu zote, na niliweza kuwa tafuta lakini mlikuwa mnapiga Chenga tuu, sio tupo polini tunachimba Mara sijui baadae, yani imekuwa sarakasi mtindo mmoja..
H
Tusamehe kwa hilo. Kuna muda fulani tupo shamba na kuna muda tunakuwa chimbo, kuna muda tulikuwa tunahama Dar mjini na mambo memgi yameingiliana.
Unaweza kutupigia 0769302206 (yangu) au 0625249605 (mume wangu).
Pole kwa usumbufu.