Unataka kuboresha mahusiano? Soma hapa.....it is worth it!

Kongosho yaani ninavyokuona wewe ni ngumu kwa mtu yoyote kujizuia kutokupenda awe mkubwa au mdogo.

Nakubaliana nawe, recently nilikuwa na mwanangu somewhere ambapo mkubwa fulani alikuwa akihutubia, basi tukawa tumeshikana mikono na my sonushka; mnene mmoja (mwanamke) alishindwa kujizuia kucomment on my relationship with my son. Hivyo nakubaliana nawe, ukiwafanya watoto kuwa rafiki na equal zako hata kukusumbua hawawezi. Mimi nashauriana mambo ya finance na mipango na mwanangu since he was 6, kiasi kwamba nikimpunguzia allowance au baadhi ya vitu anaelewa. Hiyo imemsaidia hadi shule, walimu wananiambia huwa hawaachii mpaka awe ameelewa kila kitu; in that way anawasaidia watoto wengine ambao wako a little bit shy!

its true. hata mimi nimekuwa na uhusino wa pekee na mama yangu tangu mdogo sana. she always talked to me like a friend. marafiki zangu wanampenda sana maana she treats them like her friends, yaani story za kila aina yeye yumo tu. Na sijui alikuwa anabalance vipi, maana kwenye kukaza kamba alikuwa anakaza kweli. Mambo yangu mengi including mahusiano sikuona shida kumweleza. i love her so much, she is like a big sister, friend and same time a mother.
 
ha ha ha, najua huko it will be only fun, lakini ikifika jioni kila ng'ombe hulijua zizi lake.

Siwezi mfuata mwanamme kila aendako kwa kuhofia vibinti, nitaenda kama najisikia kwenda.

Afu, huko club anakuwa juu juu tu, akiwa na yake ya rohoni atarudi home.

Am more than kufuata clubbing bana.

Kongosho umemuona mrembo?
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha, Kaunga unashikana mikono na mtoto? So good.

Mie kuna siku tulienda mahali, nikajua atanisumbua kuna kitu alikuwa nataka, nimweleza weee, nikaona nimsainishe mkataba kabisa, na mkataba huwa kunasaini kwa kufunga vidole vya mwisho pamoja na mmoja anakata. Dah kuna mtu akituona alicheka sana.

Ukibahatika kupata mama mkapendana na kuelewana ni raha sana. So some extent mama yangu ameathiri sana vitu nipendavyo kwa dhati. Hata fani niliyonayo huwa nahisi partly ni yeye alini-influence si kwa sababu hata alikuwa anaijua bali kwa story zake.

Dah, kweli kuwa mama wakati mwingine ni zawadi maishani, hisia za umama ni kubwa kwa kweli.
 
Last edited by a moderator:
Sasa hajabu mi baba yetu ndio alikuwa hivyo mama ni opposite.

Marafiki wakija home wakimkuta lazima awape story wacheke mpaka machozi...anajua aongee nini na nani.

Na story zake haziishi maana kila siku anakuja na mpya. Na hasahau mtu...

Tukikaa na ndugu zangu kuongea wote tunakubaliana kuwa hakuna alopata mume mwenye sifa kama za baba yetu kwenye suala la kupenda watoto.

Mimi nilikuwa nikiumwa mfano, baba halali tunakehsa wote mpaka asubuhi wakati mama amepiga mbonji.

Tulikuwa tunaona mama ana roho ngumu...lakini sasa nimejua kuwa ukipata mume anaye care basi wewe lazima uwe mzembe kwa kuwa una uhakika kuna wa ku take care of your children.



its true. hata mimi nimekuwa na uhusino wa pekee na mama yangu tangu mdogo sana. she always talked to me like a friend. marafiki zangu wanampenda sana maana she treats them like her friends, yaani story za kila aina yeye yumo tu. Na sijui alikuwa anabalance vipi, maana kwenye kukaza kamba alikuwa anakaza kweli. Mambo yangu mengi including mahusiano sikuona shida kumweleza. i love her so much, she is like a big sister, friend and same time a mother.
 
ha ha ha, najua huko it will be only fun, lakini ikifika jioni kila ng'ombe hulijua zizi lake.

Siwezi mfuata mwanamme kila aendako kwa kuhofia vibinti, nitaenda kama najisikia kwenda.

Afu, huko club anakuwa juu juu tu, akiwa na yake ya rohoni atarudi home.

Am more than kufuata clubbing bana.

sijaelewa unaongea nini?
 
Thanks Kaunga.
Unajua, nikienda harusini ama nikipishana nao tu wakienda kupiga picha i usually regret the day they will become greatest enemies in the books of life! I look at their smiles, eye contact na kusikitika. And i wish that day will be delayed for at least 10 years! Kuna wengine wanaipata in a month tu.

Maybe we are pushing our partners to behave the way they do?
 
Last edited by a moderator:
When you miss him, you can follow him to the club and have fun with him.
ha ha ha, najua huko it will be only fun, lakini ikifika jioni kila ng'ombe hulijua zizi lake.

Siwezi mfuata mwanamme kila aendako kwa kuhofia vibinti, nitaenda kama najisikia kwenda.

Afu, huko club anakuwa juu juu tu, akiwa na yake ya rohoni atarudi home.

Am more than kufuata clubbing bana.
 
Ni kweli my wii, sijui kuna limdudu gani linaloingilia kati. Na so far linafanya a very great job, maana limeweza kuwaconvice watu kuwa ndoa lazima iwe na misukosuko kiasi kwamba imani kuwa ndoa can me a beautful thing haipo tena. Na linaprove right every day at least kwa mmoja wa wanandoa.

Nalichukia sana hilo lidudu. Maana hata nami liliniathiri sana, hadi nikaapa sintakaa niolewe kisa sijaona mifano mizuri ya ndoa. Najaribu kufight nalo, naamini nitalishinda!
Nimeanza kwa kuvunja ile ahadi, kwa msaada wa sala ofcourse. King'asti
 
Last edited by a moderator:
Thanks Kaunga.
Maybe we are pushing our partners to behave the way they do?

May be not.
May be we are not involving the third person in our relationship in order to make it stronger? Or may be that third person is not the right person.
Coz there must be God as a third person in order for the relationship to work, most often the devil is invited instead of God, n he has many form you know.
 
Last edited by a moderator:
Nakubaliana na wewe, gfsonwin. Lkn inasikitisha sana jinsi gani wachache tu ndio wanaoweka hiyo kitu kwenye practice.

Mtu akishaolewa au kuoa basi baadhi ya vitu wanaacha kufanya eti kisa ni mke wa mtu watu watamuonaje. As long as si dhambi n you do it with ur husband, endelea kuyafanya yote mliokuwa mnayafanya mlivyokuwa wachumba.
Kaunga wengi wanaohofia kuonyesha wzi mapenzi kwa wenzi wao hata hadharan pengine wanasababu za msingi ambazo pia atunaweza kuziangalia na kuzirekebisha na ningependa sasa huu uzi uhamie upande huo manake kila mtu kama nyumba kubwa, boss na wewe mwenyewe mmekubaliana na hili sasa..............

je ni kwanini watu wengi wanashindwa kupractice haya
je ni nani anayetakiwa ku initiate hayo na
je kwa mila zetu itawezekana?

ngoja nikupe kamfano kadogo tu kuna baadhi ya familia hujikuta eti mume na mke kila mtu anakula sahan yake mezani but kiukweli sijui kwanini mie imenishinda muda wa kula sote hukaa mezani na mimi na hubby tunakula sahan moja. na hata chai kikombe chetu ni kimoja siku zote na tumezoea sana tu.
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli my wii, sijui kuna limdudu gani linaloingilia kati. Na so far linafanya a very great job, maana limeweza kuwaconvice watu kuwa ndoa lazima iwe na misukosuko kiasi kwamba imani kuwa ndoa can me a beautful thing haipo tena. Na linaprove right every day at least kwa mmoja wa wanandoa.

Nalichukia sana hilo lidudu. Maana hata nami liliniathiri sana, hadi nikaapa sintakaa niolewe kisa sijaona mifano mizuri ya ndoa. Najaribu kufight nalo, naamini nitalishinda!
Nimeanza kwa kuvunja ile ahadi, kwa msaada wa sala ofcourse. King'asti

yani we acha tu!
hili dudu sijui tulifanyeje,kusema ukweli mi huwa naumia na ndoa za watu kuvunjika mpk nahisi kujistukia yani its lyk ''we viipi si wao wenyewe wameamua''ndo huwa nilio karibu nao wananijibu hivo
lakini sijui nini kinatokea nowdays yani thamani ya maisha ya ndoa ni kama haipo
watu tumeamini sana katika kuumizwa kwenye ndoa kiasi ambacho mtu ukimwambia una furaha kwenye ndoa hakuelewi yani hakuelewi kabisa!
maisha yetu sasa hivi yamejaa uasi na visasi
nafikiri katika vitu hyu mdudu shetani amefanikiwa ni KUHARIBU NDOA ZA WATU
yani hatuna concious tena ,kusalitiwa na kusaliti imekuwa ndo law of the jungle
kuumiza na kuumizwa imekuwa ndo style ya mapenzi siku hizi,
sijui tunafanyaje kutoka hapa
sijui kwa kweli!MUNGU ATUSAIDIE TU!
 
Kongosho yaani ninavyokuona wewe ni ngumu kwa mtu yoyote kujizuia kutokupenda awe mkubwa au mdogo.

Nakubaliana nawe, recently nilikuwa na mwanangu somewhere ambapo mkubwa fulani alikuwa akihutubia, basi tukawa tumeshikana mikono na my sonushka; mnene mmoja (mwanamke) alishindwa kujizuia kucomment on my relationship with my son. Hivyo nakubaliana nawe, ukiwafanya watoto kuwa rafiki na equal zako hata kukusumbua hawawezi. Mimi nashauriana mambo ya finance na mipango na mwanangu since he was 6, kiasi kwamba nikimpunguzia allowance au baadhi ya vitu anaelewa. Hiyo imemsaidia hadi shule, walimu wananiambia huwa hawaachii mpaka awe ameelewa kila kitu; in that way anawasaidia watoto wengine ambao wako a little bit shy!
Kaunga ni ukweli kabisa watoto wana jinsi yao ya kuwahandle, usiwadekeze but spare your time teach them how to live and how do pple live.binafsi kuanz wanafunzi ninaofundisha ambao they are coming from different families huwa wananipenda sana na muda mwingine hadi inakuwa kero kwa waalim wengine, sio kwamba i support them no but huwa naish nao maisha ya kiutoto zaid kwamba tuna negotiate and we make it to the rule basi.

yaani umenikumbusha mgeni mmoja aliwah kusema nataman mimi ndo ningepewa wanao hawa kisa walikuja kunipokea nimetoka kazini sasa wakanikumbatia mmoja akasema nakupenda mama........nikamjibu na mimi nakupenda kaka wengine wote walio baki wakasema the same word. but pia mimi ambaye nina madume matupu yaani nataman kuendelea kuwa nao karibu but nahofia sasa watu wasije wakatranslate tofauti manake kijana ana 15 yrs but tuko like bro and sister. imagine he does washings for me even cleaning my bed room sasa kuna siku shangazi yake alikuwepo akamwambia kwanini unamfulia mama yako hadi skin tait na bra, akajibu nimezikuta kaeka kwenye tenga la nguo chafu chumban kwake na nikaone nimsaidie mama kufua. to me nilikwazika ingawa wifi hakuniuliza but nilijua tayari ataitafsiri tofauti tu.

yaani kwa life ya kibongo kijana akisha kuwa miaka digits mbili ni ngumu sana kuish nae kwa namna ya ukaribu.
 
Last edited by a moderator:
yani we acha tu!
hili dudu sijui tulifanyeje,kusema ukweli mi huwa naumia na ndoa za watu kuvunjika mpk nahisi kujistukia yani its lyk ''we viipi si wao wenyewe wameamua''ndo huwa nilio karibu nao wananijibu hivo
lakini sijui nini kinatokea nowdays yani thamani ya maisha ya ndoa ni kama haipo
watu tumeamini sana katika kuumizwa kwenye ndoa kiasi ambacho mtu ukimwambia una furaha kwenye ndoa hakuelewi yani hakuelewi kabisa!
maisha yetu sasa hivi yamejaa uasi na visasi
nafikiri katika vitu hyu mdudu shetani amefanikiwa ni KUHARIBU NDOA ZA WATU
yani hatuna concious tena ,kusalitiwa na kusaliti imekuwa ndo law of the jungle
kuumiza na kuumizwa imekuwa ndo style ya mapenzi siku hizi,
sijui tunafanyaje kutoka hapa
sijui kwa kweli!MUNGU ATUSAIDIE TU!

hahahahah snowhite umesahau kwamba ndoa hiyo hiyo Mungu anaiangalia, hiyo hiyo wewe na mume wako , hiyo hiyo mnafki anatumbulia mijicho, hiyo hiyo mchawi anaitumbuli macho, hiyo hiyo waloikosa wanaiitumbulia, hiyo hiyo wasokupenda wanaikodolea na hiyo hiyo shetan anaikodolea macho, wafikiri nini zaid
 
Last edited by a moderator:
May be not.
May be we are not involving the third person in our relationship in order to make it stronger? Or may be that third person is not the right person.
Coz there must be God as a third person in order for the relationship to work, most often the devil is invited instead of God, n he has many form you know.

you have the logic Kaunga.............. but kiukweli ili ndoa iwe njema sala na maombi ni muhimu but pia utu wa ndani wa wahusika una matter sana. unajuakama kiukweli every one will agree that this is ma only love definitely you will work hard for it and not anyone else. but pple always think of alternative love something which i don't agree with it at all.

love and respect are the only keys to enjoyable love.
 
Last edited by a moderator:
When you miss him, you can follow him to the club and have fun with him.
Thats exactly what I meant, having fun together. sikumaanisha kwa ajili ya kunfuatilia nyendo zake. yaani hi muhimu sana to have that special time together nje ya bedroom
 
Kaunga wengi wanaohofia kuonyesha wzi mapenzi kwa wenzi wao hata hadharan pengine wanasababu za msingi ambazo pia atunaweza kuziangalia na kuzirekebisha na ningependa sasa huu uzi uhamie upande huo manake kila mtu kama nyumba kubwa, boss na wewe mwenyewe mmekubaliana na hili sasa..............

je ni kwanini watu wengi wanashindwa kupractice haya
je ni nani anayetakiwa ku initiate hayo na
je kwa mila zetu itawezekana?

ngoja nikupe kamfano kadogo tu kuna baadhi ya familia hujikuta eti mume na mke kila mtu anakula sahan yake mezani but kiukweli sijui kwanini mie imenishinda muda wa kula sote hukaa mezani na mimi na hubby tunakula sahan moja. na hata chai kikombe chetu ni kimoja siku zote na tumezoea sana tu.

Bongo ukionyesha affection in public watu wanatafsiri mna ringa. Ila nafikiri mnapokuwa kwenye ndoa msijali sana mathird party wanasema nini as long as hamjivunjii heshima. vitu kama kushikana mikono, lip kissing, hugging vinafurhisha na kuwaweka karibu zaidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom