Unataka kuboresha mahusiano? Soma hapa.....it is worth it!

If you dont mind...unadhani ni kwa nini walikwambia hivyo?...maana nikiangalia utoto wangu naona kama ni ngumu mtoto kumwambia mama mtu mzima kitu kama hicho; ila ni rahisi kumwambia mtoto mwenzio 'natamani mama yako angekuwa mama yangu'. Au ni ndugu zako wa karibu, ndio maana mkawa close mpaka wakaweza kufunguka na kusema maneno mazito hayo?

Walipenda upole?

Walipenda u close na wanao?
Walipenda swagg? (si unajua watoto tena wanaweza kukupenda kwa mavazi tu. Lol)

Au haukuwauliza kilichowavutia?


na mimi najiuliza hivyo hivyo...
 
duh, Kaunga leo umenipata. make huwa naona uvivu sana kusoma thread za kiinglish lakini leo sijui uvivu umetokomea wapî. uzi mzuri sana na fundisho kwetu tusio ndoani na walio ndoani! asante kwa useful post. remain blessed mamito. . .
 
Last edited by a moderator:
Kuna watoto wa kiume utulivu zero...wanaanza u serengeti wakiwa wadogo.

Utasikia mchumba...ukikaangalia unawea kukazaa.

Ndio maana nilitaka afunguke zaidi...maana watoto wa siku hizi wana mambo.


We umeshaitwa 'mchumba' na watoto dizaini hiyo?
 
nyumba kubwa, honestly sijui sana lkn nafikiri ni hicho unachoita swags maana hata siwafahamu na nadhani hawanifahama. Ni matukio 3 tofauti halafu wote ni watoto wakike!
 
Last edited by a moderator:
duh, Kaunga leo umenipata. make huwa naona uvivu sana kusoma thread za kiinglish lakini leo sijui uvivu umetokomea wapî. uzi mzuri sana na fundisho kwetu tusio ndoani na walio ndoani! asante kwa useful post. remain blessed mamito. . .

Thanks hny,
Kweli nilijua wengi wataboreka na urefu wa post, ila muandishi kauweka in a way ambayo inavutia kusoma nafikiri ndio sababu.
 
Last edited by a moderator:
nyumba kubwa, honestly sijui sana lkn nafikiri ni hicho unachoita swags maana hata siwafahamu na nadhani hawanifahama. Ni matukio 3 tofauti halafu wote ni watoto wakike!

kama ni watoto wa kike
basi sababu watakuwa wamependa wewe ulivyo friendly kwao

watoto wa kike hupenda sana kuwa na urafiki na mama zao....
 
Nilizani ni wa kiume nikajua walikuwa wanatafuta mchumba. Lol.

Wa kike basi walikuona umependeza...maana hawakujuhi. Kwa hiyo as nothing to do na wewe kuwa good mother.

Nilidhani wako karibu na wewe ndio maana nilitaka kujua una tabia gani ilowavutia na sie tuige.


nyumba kubwa, honestly sijui sana lkn nafikiri ni hicho unachoita swags maana hata siwafahamu na nadhani hawanifahama. Ni matukio 3 tofauti halafu wote ni watoto wakike!
 
kama ni watoto wa kike
basi sababu watakuwa wamependa wewe ulivyo friendly kwao

watoto wa kike hupenda sana kuwa na urafiki na mama zao....

Sijui bwana, kwani mara mbili nawasalimia baada ya kupata comment hiyo.
Ila nami napenda sana watoto wakike sijui kwakuwa sina. Nimemchukua binti mmoja nimeamua kukaa naye na kumsomesha. Ananipenda sana mpaka basi, yaani hata kwenda kwao hafikirii. Mama yake alikuwa anamtafutia sehemu akafanye kazi (she is only 12). Nikamwambia bora nimchukue akasome.

Sasa hivi anakaa na mama yangu baada ya yeye kumuomba.
 
Sijui bwana, kwani mara mbili nawasalimia baada ya kupata comment hiyo.
Ila nami napenda sana watoto wakike sijui kwakuwa sina. Nimemchukua binti mmoja nimeamua kukaa naye na kumsomesha. Ananipenda sana mpaka basi, yaani hata kwenda kwao hafikirii. Mama yake alikuwa anamtafutia sehemu akafanye kazi (she is only 12). Nikamwambia bora nimchukue akasome.

Sasa hivi anakaa na mama yangu baada ya yeye kumuomba.

mimi nina zalisha watoto wa kike sana..
nikusaidie? lol
 
watoto wanapenda 'attention' ya watu wazima ila hatujui tu.

Watoto ukiwapa muda wa kuwasikiliza wanakupenda mno.

Sehemu nayokaa watoto wamenipa 'nick name' ambayo hata sijui waliitoa wapi.

Na ndio basi tena, limeshaenea hata kulifuta nimeshindwa lakini ni watoto huniita hivyo.

What did i do, nothing much, just attention ndogo ndogo kabisa.

nyumba kubwa, honestly sijui sana lkn nafikiri ni hicho unachoita swags maana hata siwafahamu na nadhani hawanifahama. Ni matukio 3 tofauti halafu wote ni watoto wakike!
 
Last edited by a moderator:
kwakweli ndoa ni tamu sana hasa ukiipatia.
yaani ukishajiambia this is my life, i want to make the best of it. utafurahi

kitu ambacho sielewi, ni kwanini wanawake wengine wanakubali kuachwa nyumbani kila outing??? yaani unamuacha mme wako anenda club peke yake kila weekend!!! haingii akilini. ndi maana anaanza kukuona kama mama yake na kuanza kutafuta vibinti vya kuruka navyo majoka lol
 
Kongosho yaani ninavyokuona wewe ni ngumu kwa mtu yoyote kujizuia kutokupenda awe mkubwa au mdogo.

Nakubaliana nawe, recently nilikuwa na mwanangu somewhere ambapo mkubwa fulani alikuwa akihutubia, basi tukawa tumeshikana mikono na my sonushka; mnene mmoja (mwanamke) alishindwa kujizuia kucomment on my relationship with my son. Hivyo nakubaliana nawe, ukiwafanya watoto kuwa rafiki na equal zako hata kukusumbua hawawezi. Mimi nashauriana mambo ya finance na mipango na mwanangu since he was 6, kiasi kwamba nikimpunguzia allowance au baadhi ya vitu anaelewa. Hiyo imemsaidia hadi shule, walimu wananiambia huwa hawaachii mpaka awe ameelewa kila kitu; in that way anawasaidia watoto wengine ambao wako a little bit shy!
 
Last edited by a moderator:
kwakweli ndoa ni tamu sana hasa ukiipatia.
yaani ukishajiambia this is my life, i want to make the best of it. utafurahi

kitu ambacho sielewi, ni kwanini wanawake wengine wanakubali kuachwa nyumbani kila outing??? yaani unamuacha mme wako anenda club peke yake kila weekend!!! haingii akilini. ndi maana anaanza kukuona kama mama yake na kuanza kutafuta vibinti vya kuruka navyo majoka lol
Kongosho umemuona mrembo?
 
Last edited by a moderator:
jamani nimefurah sana kwa hii post.
ndo maana nasema hapana kumzoea mwenzi wao bana wala ustake akuzoee kila siku mfanye akuone mpya...........

Can you say that three times fast? No mazoea kwa wanandoa! Thank you.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom