Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,331
- 33,141
Unasaemaje kuhusu hii Picha? Ipe maneno Picha yangu hii.......
Mkuu chamakh Ni Kweli huyu Tai ni Nchi za Ulaya Magharibihuyo ni ndege mwenye nia mbaya na huyo mtoto, amemuona kachoka, anampa maji machache apate nguvu ili amwamini ila mwisho wa siku ndege atamla tu huyo mtoto
kwangu naweza kusema ni hito ni Taashira(Ni matumizi ya lugha ya ishara kuwakilisha ujumbe fulani. Jina au kitu fulani kinatumika kumaanisha kitu kingine chenye uhusiano na kile kilichotumiwa-Symbolism) na huyo tai ni kama mabeberu-nchi za magharibi wanaokuja kutusaidia waafrika na nchi zenye dhiki kwa misaada midogo ya madawa na neti za mbu lakini m,wishoni wataondoka na mali nyingi zaidi-madini, gesi n.k- na mwishowe tutakuwa tumeliwa
hivi ndivyo ninavyoidadavua hiyo picha
Mkuu chamakh Ni Kweli huyu Tai ni Nchi za Ulaya Magharibi
Uingereza,Ufaransa,Italy,Ujerumani, na Amerika wanakuja kwa huyo Mtoto ni Mfano wa nchi za Bara la Afrika njaa tupu wanakuja na
vijimisaada vya uongo na kweli kisha wakachukuwa dhahabu,Uranium, Gas, Almasi na Madini yote wakisha chukuwa wakatuacha sisi
Wa-Afrika na njaa yetu ipo pale pale. Wanatusaidia kwa uongo kisha wanatuuwa kwa Maradhi ya AIDS Ukimwi Ugonjwa Wa Saratani
na Ugonjwa WA Kisukari tunakufa huku wanatucheka jamani tuamke na hivyo viji msaada vya Pumba.
Mkuu umenena,ni kweli kabisa mungu anaweza kukusaidia mahali ambapo hutarajii kupata msaada!Tusikate tamaa katika maisha kwani MUNGU bado yupo nasi.
Nilazima tuijue dunia in and out!daah, MziziMkavu usitake nikatoa machozi asubuhi hii
i will be back soon.
Mh!mheshimiwa waziri tena?Big up mheshimiwa waziri, picha imeleta tafsiri nyingi sana kichwani mwangu.
Duh!hii ni kali ya mwaka!Ilikuwa hivii,
Upo sahihi kabisa mkuu!Kuna wakati adui yako anaweza kuwa msaada mkubwa kwako.