Kipaji kina nguvu kuliko usomi

big dreamer

JF-Expert Member
Jan 15, 2014
398
1,059
Ebu ipe caption yako hii picha
Screenshot_20240113-080646_1.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ebu ipe caption yako hii pichaView attachment 2873186

Sent using Jamii Forums mobile app
Pia hii picha ina jambo la kusikitisha. Sasa hapo iwe ni press conference ya labda mbowe au zitto anataka kuchambua report ya CAG, hapo kutakuwa na mic 3 na waandishi wachache.

Kwa sababu watanzania tunafuatilia vitu vya kijinga hata hizo blog na tu tv twa online hatuoni haja ya kucover story ambazo zinawagusa watanzania.

Baada ya miaka 30 kwa mwendo huu hii itakuwa nchi ya ajabu kweli.
 
Pia hii picha ina jambo la kusikitisha. Sasa hapo iwe ni press conference ya labda mbowe au zitto anataka kuchambua report ya CAG, hapo kutakuwa na mic 3 na waandishi wachache...
Kabisa mkuu, Watanzania tunapenda udaku kuliko vitu vya maana ndio maana mange kimambi amegundua hilo na kulipisha sh 2000 kila mwezi ili kupata udaku wa moto moto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pia hii picha ina jambo la kusikitisha. Sasa hapo iwe ni press conference ya labda mbowe au zitto anataka kuchambua report ya CAG, hapo kutakuwa na mic 3 na waandishi wachache...
Ni kwel brother.
Ndio maana binafsi, my instincts keep telling me mambo haya:

- kama unaweza, wekeza sana kwenye afya (maana now days vijana na jamii ina abuse sana afya kwa vinywaji vikali visivyothibitishwa, vijana wanakufa sana na wengi watakuja kuwa na shida sana katika mustakabali wa afya zao hivyo suala la uzalishaji litakua tatizo kwakua vijana ambao nguvu kazi local watakua na disqualification kwa kias kikubwa

- wekeza sana kwako na kwa wanao katika elimu bora yenye kuleta tija na mabadiliko. (Vijana na wasomi wa sasa wamekua wapumbavu sanaaaaaa na ndio matokeo haya kama kwenye picha hapo. Wenye akil sasa wawekeze sana kwenye maarifa yatakayokuja kuwa the game changer)

NB
Haya ndio matokeo ya elimu yetu. Ndio maana sometimes LIKUD Anaona ujinga watu kuwekeza mapesa mengi katika elimu hiz za kijinga jinga ambazo mwisho wa siku zinazalisha wapumbavu kama hawa wanaosumbuka na mkate wa kila siku badala ya big things
 
mkishajazwa uwoga mwisho wa siku mnatengeneza ujinga na ujinga ukizidi unaleta unafki(chawa).
Kila kitu ni kazi ,wapo waliokuwa chawa kwa wazungu tangu ukoloni hata uhuru hawakutaka.

Mjinga ni yule anayefuatilia kazi ya mtu ,kikubwa mtu hana time na wwe fanya yako...Kuna watu wanafagia ofisi wapate chochote ...Kila afanye lake .
 
Ebu ipe caption yako hii pichaView attachment 2873186

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wote unaowaona hapo wamemzunguka ni vijana YouTubers ambao wamehustle mtaani Ajira empty kazi empty wakagundua fursa ya YouTube kwamba ukiweka content unapata Pesa viewer's 1000 wanakulipa $0.97 hapo bado hujapewa matangazo, wakaona basi watumie hio fursa

Kwa hio hapo ni Sawa uwaarike watu kwenye sherehe ya pilau kuku huyo aliopo hapo mbele ni mtu aliejizolea umaarufu mtandaoni kwa hio sometimes usiseme kipaji sema watu wanatafuta chakula maana kujitangaza ni sehemu pia ya kutafuta ugali hapo watu wanapambana na fursa ya click mtandaoni click zinalipa click unapoiona popote ukiclick jua kuna mwenzio nyuma anaingiza maokoto anakusanya click click zikiwa nyingi ndio zinazomweka mjini ndio zinazomfanya anashine ni click sio kitu kingine click zinasababisha watu wengi wanaishi maisha Mazuri sababu ni click pekee sio kitu kingine

Click
 
Iko wazi Kipaji ni zaidi ya elimu kwemye mitonyo.

Je huyo kwenye picha ni nani, na ana kipaji gani!? Ua hakika gani hao walioshika maiki ni wasomi, hawana vipaji, waandishi wa habari wa ngapi wenye vipaji vya utangazaji na uandishi wanapiga hela nyingi? Je huyo wa kwenye picha ni kweli kwa kipaji chake kawazidi waandishi wa hao wa habari ama wasomi?
 
Ni kwel brother.
Ndio maana binafsi, my instincts keep telling me mambo haya:

- kama unaweza, wekeza sana kwenye afya (maana now days vijana na jamii ina abuse sana afya kwa vinywaji vikali visivyothibitishwa, vijana wanakufa sana na wengi watakuja kuwa na shida sana katika mustakabali wa afya zao hivyo suala la uzalishaji litakua tatizo kwakua vijana ambao nguvu kazi local watakua na disqualification kwa kias kikubwa

- wekeza sana kwako na kwa wanao katika elimu bora yenye kuleta tija na mabadiliko. (Vijana na wasomi wa sasa wamekua wapumbavu sanaaaaaa na ndio matokeo haya kama kwenye picha hapo. Wenye akil sasa wawekeze sana kwenye maarifa yatakayokuja kuwa the game changer)

NB
Haya ndio matokeo ya elimu yetu. Ndio maana sometimes LIKUD Anaona ujinga watu kuwekeza mapesa mengi katika elimu hiz za kijinga jinga ambazo mwisho wa siku zinazalisha wapumbavu kama hawa wanaosumbuka na mkate wa kila siku badala ya big things
100 % correct
 
Pia hii picha ina jambo la kusikitisha. Sasa hapo iwe ni press conference ya labda mbowe au zitto anataka kuchambua report ya CAG, hapo kutakuwa na mic 3 na waandishi wachache.

Kwa sababu watanzania tunafuatilia vitu vya kijinga hata hizo blog na tu tv twa online hatuoni haja ya kucover story ambazo zinawagusa watanzania.

Baada ya miaka 30 kwa mwendo huu hii itakuwa nchi ya ajabu kweli.
%80 Ya vijana wa tanzania ni hopless na wapumbavu na hii ni moja kat ya wikness inayowasaidia ccm kubaki madarakani; media za wajinga zinahoji wajinga zinapendwa na wajinga
 
Ni kwel brother.
Ndio maana binafsi, my instincts keep telling me mambo haya:

- kama unaweza, wekeza sana kwenye afya (maana now days vijana na jamii ina abuse sana afya kwa vinywaji vikali visivyothibitishwa, vijana wanakufa sana na wengi watakuja kuwa na shida sana katika mustakabali wa afya zao hivyo suala la uzalishaji litakua tatizo kwakua vijana ambao nguvu kazi local watakua na disqualification kwa kias kikubwa

- wekeza sana kwako na kwa wanao katika elimu bora yenye kuleta tija na mabadiliko. (Vijana na wasomi wa sasa wamekua wapumbavu sanaaaaaa na ndio matokeo haya kama kwenye picha hapo. Wenye akil sasa wawekeze sana kwenye maarifa yatakayokuja kuwa the game changer)

NB
Haya ndio matokeo ya elimu yetu. Ndio maana sometimes LIKUD Anaona ujinga watu kuwekeza mapesa mengi katika elimu hiz za kijinga jinga ambazo mwisho wa siku zinazalisha wapumbavu kama hawa wanaosumbuka na mkate wa kila siku badala ya big things
Hakika na kweli umesema vyema
 
Pia hii picha ina jambo la kusikitisha. Sasa hapo iwe ni press conference ya labda mbowe au zitto anataka kuchambua report ya CAG, hapo kutakuwa na mic 3 na waandishi wachache.

Kwa sababu watanzania tunafuatilia vitu vya kijinga hata hizo blog na tu tv twa online hatuoni haja ya kucover story ambazo zinawagusa watanzania.

Baada ya miaka 30 kwa mwendo huu hii itakuwa nchi ya ajabu kweli.
Hapa ujinga tu na upumbavu vya maana peleka Chamwino, Dodoma 😂

Mwandishi mwenye karama yake, mwenye misingi na nidhamu na mwenye elimu na anayejitambua huwezi kumkuta hapo. Hao wote vijana wa mjini tu... wanaishiaga radio za hovyohovyo.

Hata elimu hakuna hapo
 
Hawa machawa wanapiga sana hela kwa ujinga ujinga tu
Huyo sio chawa... ni dalali wa magari na sasa kutokana na uongeaji wake, ucheshi na mpenzi kwa watu jina limekuwa na amekuwa brand influencer wa biashara mbalimbali.

Hata wewe ukiwa na biashara yako... mtafute atakuja kukutangazia kwa bei mtakayokubaliana. Hata mkataba mnaingia

Sio chawa huyo
 
- kama unaweza, wekeza sana kwenye afya (maana now days vijana na jamii ina abuse sana afya kwa vinywaji vikali visivyothibitishwa, vijana wanakufa sana na wengi watakuja kuwa na shida sana katika mustakabali wa afya zao hivyo suala la uzalishaji litakua tatizo kwakua vijana ambao nguvu kazi local watakua na disqualification kwa kias kikubwa
Unawasiwasi gani wakati kila siku wànazaliwa watoto mamia.
Acha kuishi kwa wasiwasi..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom