Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 2,585
- 4,270
Mimi ni kijana (Mwanamme) mwenye umri wa kukaribia miaka 40 naishi kanda ya Kaskazini.
Historia yangu ya maisha ni ndefu kiasi ila kwa kifupi ni kuwa; nimetoswa na msichana niliyempenda na kumuamini sana kuwa angekuwa mwenza wangu.
Hii ilitokea baada ya kumsaidia kupata scholarship ya kwenda kusoma Holland kozi ya miaka mitatu (kuanzia mwaka 2007). Huyu msichana nilimpata wakati nipo chuoni….
Kwa kifupi ni kuwa nigharamikia mambo yote muhimu kwa safari ya nje ya nchi. Visa/ passport nk muda ulipofika alienda chuoni na tulikuwa na mawasiliano mazuri sana kwa mwaka wa kwanza (Facebk/skype na hata simu) ila yalienda yakipungua mwaka wa pili. Miezi ya katikati ya 2009 nilipata wakati mgumu sana kwani mara kadhaa usiku nawasha computer yangu nakuta yupo hewani kwenye Messenger ila niki chat anabakia kimya; baadae sana akinijibu anasema kuwa aliacha Comp. yake on akalala. Ilienda hivyo hivyo hadi mwishoni mwa mwaka (2009) akawa anadai mimi sina mapenzi ya kweli kwani sijawahi hata kuwa na wazo la kwenda kumtembelea chuoni kwake (huko Holland) nafikiri wanao jua Geography wanaweza kujua unavyosema unaenda kumasalimia mtu aliyeko East Holland unaongelea $$$ ngapi?
Iliniumia sana, kwani nilijua kabisa huo sio mwisho mzuri…iliendelea hivyo hivyo kwa malumbano madogo madogo hadi muda wa kurudi ukafika. Ile tar. Aliyo niambia angekuja hakuonekana na kila nikiimuuliza kuwa ameahirisha hadi lini anakwepa…
Baada ya kufuatilia kwao ( kwa kutumia mpambe) nikajulishwa kuwa amesha pata mtu mwingine raia wa nchi jirani na kwetu (walikutana huko chuoni) na wana tegemea kufunga ndoa.
....Nilijilaumu kwa kumpa nafasi ya kusoma….labda tungekuwa tumezaa naye mtoto????
Kinachoniumiza:
1. Nili dedicate mawazo yangu yote kwake sasa kwa umri huu (karibia 40yrs)nita anzaje tena kutafuta mchumba?
2. Wasichana wazuri ambao nafikiri nitamatch nao umri naona wengi wapo kwenye ndoa
3. Kama kuna bint decent anayejiamini na anahisi yupo tayari kuingia kwenye ndoa bora naomba ani pm
4. Frankly I am desperately and I need your hands!
Historia yangu ya maisha ni ndefu kiasi ila kwa kifupi ni kuwa; nimetoswa na msichana niliyempenda na kumuamini sana kuwa angekuwa mwenza wangu.
Hii ilitokea baada ya kumsaidia kupata scholarship ya kwenda kusoma Holland kozi ya miaka mitatu (kuanzia mwaka 2007). Huyu msichana nilimpata wakati nipo chuoni….
Kwa kifupi ni kuwa nigharamikia mambo yote muhimu kwa safari ya nje ya nchi. Visa/ passport nk muda ulipofika alienda chuoni na tulikuwa na mawasiliano mazuri sana kwa mwaka wa kwanza (Facebk/skype na hata simu) ila yalienda yakipungua mwaka wa pili. Miezi ya katikati ya 2009 nilipata wakati mgumu sana kwani mara kadhaa usiku nawasha computer yangu nakuta yupo hewani kwenye Messenger ila niki chat anabakia kimya; baadae sana akinijibu anasema kuwa aliacha Comp. yake on akalala. Ilienda hivyo hivyo hadi mwishoni mwa mwaka (2009) akawa anadai mimi sina mapenzi ya kweli kwani sijawahi hata kuwa na wazo la kwenda kumtembelea chuoni kwake (huko Holland) nafikiri wanao jua Geography wanaweza kujua unavyosema unaenda kumasalimia mtu aliyeko East Holland unaongelea $$$ ngapi?
Iliniumia sana, kwani nilijua kabisa huo sio mwisho mzuri…iliendelea hivyo hivyo kwa malumbano madogo madogo hadi muda wa kurudi ukafika. Ile tar. Aliyo niambia angekuja hakuonekana na kila nikiimuuliza kuwa ameahirisha hadi lini anakwepa…
Baada ya kufuatilia kwao ( kwa kutumia mpambe) nikajulishwa kuwa amesha pata mtu mwingine raia wa nchi jirani na kwetu (walikutana huko chuoni) na wana tegemea kufunga ndoa.
....Nilijilaumu kwa kumpa nafasi ya kusoma….labda tungekuwa tumezaa naye mtoto????
Kinachoniumiza:
1. Nili dedicate mawazo yangu yote kwake sasa kwa umri huu (karibia 40yrs)nita anzaje tena kutafuta mchumba?
2. Wasichana wazuri ambao nafikiri nitamatch nao umri naona wengi wapo kwenye ndoa
3. Kama kuna bint decent anayejiamini na anahisi yupo tayari kuingia kwenye ndoa bora naomba ani pm
4. Frankly I am desperately and I need your hands!