Smooth roads never make good drivers!
Smooth sea never makes good sailors!
Clear Skies never make good pilots!
Problem free life never makes a strong & good person!
Be strong enough to accept the challengers of life.
Don't ask Life
"Why me?"
Instead say
"Try Me!"
Ni wakat wa rafiki yako kuacha upole na kua-act like a real man, namaanisha baba wa familia, au kichwa cha familia, huyo mwanamama anaonekana anamdharau mume wake coz ni mpole na hajawah kumuonyeshea uanaume wake...
Kuendelea kukaa kimya na kulalamika kwa friends ni kujiumiza na kujidhalilisha tuu, mwambie aamke.....
Kama hawez kum-control huyo mkewe bac amuache abaki na wanae si unasema alimlea huyo mdogo mamake akiwa skul so naamin ataweza kuwalea wanae, kuendelea kuishi na huyo bi mama bila kumweka mahali pake ni kutafuta magnjwa na hatimae kutuongezea watoto wa mitaan
Wanawake wengine bana
wengine tunasali daily tupate wanaume waaminifu na wapole wenyewe wanawachezea.................mxiuuuuuuuu
Unanitisha na busara..
umeitoa wapi?
Smooth roads never make good drivers!
Smooth sea never makes good sailors!
Clear Skies never make good pilots!
Problem free life never makes a strong & good person!
Be strong enough to accept the challengers of life.
Don't ask Life
"Why me?"
Instead say
"Try Me!"
Ni wakat wa rafiki yako kuacha upole na kua-act like a
real man, namaanisha baba wa familia, au kichwa cha
familia, huyo mwanamama anaonekana anamdharau mume
wake coz ni mpole na hajawah kumuonyeshea uanaume wake...
Kuendelea kukaa kimya na kulalamika kwa friends ni
kujiumiza na kujidhalilisha tuu, mwambie aamke.....
Kama hawez kum-control huyo mkewe bac amuache abaki
na wanae si unasema alimlea huyo mdogo mamake akiwa
skul so naamin ataweza kuwalea wanae, kuendelea kuishi
na huyo bi mama bila kumweka mahali pake ni kutafuta
magnjwa na hatimae kutuongezea watoto wa mitaan
Wanawake wengine bana
wengine tunasali daily tupate wanaume waaminifu na
wapole wenyewe
wanawachezea.................mxiuuuuuuuu
Mie ndo maana nachukia ndoa za kikiristo,talaka kwetu mwiko! USHAURI wangu apige chini huyo malaya atamletea maradhi
amrudishe kwao kwa muda wa miezi kadhaa ili ajirekebishe, kama tabia itaendelea basi waachane tu.
Ushauri mzuri mkuu nitampa aufanyie kazi..Thanx.
Mkuu jamaa ameshawaza sana kumpiga chini,ila anahofu juu ya watoto wao..Na akifikiria ni vile ndoa ni ya kanisani.
AJARIBU HUU HAPA. bony akae kimya ajifanye kama kuna kitu anapanga lakini hakifahamiki. Vilevile asishiriki tendo la ndoa wala asicheke ckeke nae na wala asiende hata kwa wazazi wake ku report. awe na mapenzi na watoto wake na asionekane kama mwenye mawazo.
nakumbia tina ata tapa tapa akisha zinguliwa huko nje moyo
uta muuma sana na atamkumbuka mumewe hivyo atajirudi
na kuomba msamaha. Asimwache kwani wapo kwenye
ndoa mbaya zaidi wana watoto na aliapa kuwa atakuwa nae
kwenye shida na raha mpaka kifo kiwatenganishe,
amwombe MUNGU huyo ambae aliapa kwake sikuzile
amfungulie njia.
akifanya basi atapata magonjwa
Kwanza pole sana kwa yaliyomkuta rafiki yako, ujue wanawake wa kiafrika tukichukuliwa kizungu saaaaaana kiburi kinatupanda. Na huruma nying huzaa dhambi.
Sipendi kupigwa na ninaogopa sana kupigwa ila huyo mke wako hata simtetei wala kumuonea huruma.
Inabidi utembeze kiboko cha uhakika yani mpaka ajue kuwa ndani kuna MWANAUME NA SI TU
BABA.
Asiachane nae ila kiboko kitamnyoosha akiona anabanwa
atafungasha aende kwa hao mafundi akikosa mlo mara
mbili tatu atarudi.