DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,485
- 99,210
Kuna jamaa yangu Ni mkandarasi serikalini, mkewe Ni mtendaji. walijenga hapa Dar baadae jamaa kaja kuhamishiwa mkoani kikazi, ikabidi mkewe nae kikazi ahamie huko huko mkoani wilaya alipo Mumewe. Hivyo nyumba Yao ya Hapa Dar wakaipangisha.
Mwaka juzi jamaa alikuja kupata kesi fulani uko kazini kwake mkoani, hivyo nafasi yake akateuliwa mtu mwingine, nae akatakiwa kuripoti makao makuu Mara Moja, ila matumaini ya jamaa Ni kwamba atapangiwa majukumu mengine.
Hivyo Jamaa hakuona umuhimu wa Kurud Dar na familia nzima akisubiri kujua atapangiwa wapi Tena. Hivyo nae akatafuta nyumba nyingine akapanga hapa hapa Dar, mkewe akimuacha kule kule mkoani.
Mwaka juzi jamaa alikuja kupata kesi fulani uko kazini kwake mkoani, hivyo nafasi yake akateuliwa mtu mwingine, nae akatakiwa kuripoti makao makuu Mara Moja, ila matumaini ya jamaa Ni kwamba atapangiwa majukumu mengine.
Hivyo Jamaa hakuona umuhimu wa Kurud Dar na familia nzima akisubiri kujua atapangiwa wapi Tena. Hivyo nae akatafuta nyumba nyingine akapanga hapa hapa Dar, mkewe akimuacha kule kule mkoani.