Unaoa kabila au mtu?

bahaticaro

Senior Member
Jul 20, 2012
100
31

Habarini wanajamvi.

Mimi naudhika jamani kama humu ndani kuna wazazi samahani sana, ila mnakosea sana kulazimisha mabinti zenu kuolewa na aina ya kabila fulani.

Kwani mtu anaoa kabila au mtu.Utakuta watu wameshapendana wakifika nyumbani wazazi wanakataa eti kigezo kabila fulani halifai.Kwakweli hii tabia inakera.

Tulijadili hili
 
Kweli si vizuri hata mimi naunga mkono. Kabila halimaanisha ubora au ubaya wa mtu ingawa kuna baadhi ya makabila yana sifika kwa tabia nzuri au mbaya kwa wingi. BINAFSI KABILA SIYO KIGEZO.
 
Siyo busara pia kupingana na urithi asili wa vinasaba.
Watoto hurithi tabia za kiukoo.
Cha muhimu karne hii ni mtu kujichagulia mwenzi wake binafsi ili ukianza kulia ulie mwenyewe.
 
mim naudhika jamn km humu ndan kuna wazaz samahn sana ila mnakosea sana kulazisha mabint zenu kuolewa na aina ya kabila fulan

Kinachomaanishwa sio jina la kabila bali ni culture (values, customs, n.k.) ambazo zinachangia kwa kiasi fulani kuwa na maelewano mazuri!!
 
Wahaya, Warangi, na Wambulu, makabila ya Pwani na Songea na Sumbawanga, si makabila ya kuolewa na watu wastaarabu kama Wachagga.
 
Kwa wachaga wana nin mbn kam ni most wanted kabila ambalo makabil mengi yanapenda kuoa
 
Kwa wachaga wana nin mbn kam ni most wanted kabila ambalo makabil mengi yanapenda kuoa



Wachagga ni wastaarabu kupita makabila yote. Makabila niliyoyataja hapo yamezidi mno kuwa na sifa mbaya za kichawi, uvivu, majivuno na umalaya.
 
makabila tajwa hapo juu ni wachawi, malaya/wahuni, wavivu, na wenye majivuno
Mbona mademu wa kichaga tunawagonga sana huku mitaani? Hivi kuna majivuno zaidi ya hayo ya kwako ya kujiona wewe na kabila lako ndio bora lakini wengine ni malaya, wavivu, na wachawi? By the way, swali langu lilikuwa nini tasfiri ya ustaarabu lakini hayo uliyotajam hapa mjini, kila kabila wanafanya!
 
Tukikuwa tutaacha kutukana makabila.hizi kweli ni fikra pevu?
 
Wahaya, Warangi, na Wambulu, makabila ya Pwani na Songea na Sumbawanga, si makabila ya kuolewa na watu wastaarabu kama Wachagga.

Ingawa nimeoa mchaga sikumuoa sababu ya uchaga wake,nilioa coz niliona ana future ya maisha,but sio kwamba makabila mengine wana matatizo la hasha kila mtu na tabia yake,Ila kuna baadhi ya makabila wana katabia kanakofanana karibia wote,mfano wazaramo,wagogo na karibia jamii yote inayoishi pwani wana majanga.
 
Wachagga ni wastaarabu kupita makabila yote. Makabila niliyoyataja hapo yamezidi mno kuwa na sifa mbaya za kichawi, uvivu, majivuno na umalaya.

Wanawake wa kichaga walio wengi ni washirikina wakubwa na wanafiki na wanatumia dini kama kofia.ndo wanaongoza kukesha makanisani wakati ndani kamuacha mume wa mtu. au ana madawa kibao. analala kwa hawara anaamkia kwenye maombi so what???
but uwezi kusema ni wote ila walio wengi.
 
Ila mabinti wa kihaya wako poa aisee.. Na ndoa nyingi za inter-merriage ni wachaga na wahaya kwa sasa hapa bongo... Sijui imekua vip akati hata sio watani. Kwenye ukoo wangu mi nimeshakaribisha wahaya wawili na mimi Mungu akijalia naenda kuoa kwao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom