Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Ahahahaah!he is copying from the original!Mwalimu wa somo la Biology form2 aliingia class na kuwataka wanafunzi kila mmoja achore viungo vya uzazi na kuandika jina la kila sehemu muhimu.Ghafla James akainama kuegemea dawati huku anaangalia chini kwa aibu.Mwanafunzi moja mtundu akamwambia mwalimu,
Mwalimu angalia James anacopy.