Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
halaf kila nikijitahidi post yangu ikae juu ya post ya nyamayao sjui kwanini sifanikiwi? help mzee wa mawodi ya kuujaza ulimwengu.
Nyamayao huwezi kaa juu yake...anaogopa maajabu ya chura kiwete. Hivi mutu ya famasi, hiyo ya chura kiwete ukaifanya mchana wa jua kali mimba itakamata? Huku mawodi ya kina mama nna upungufu mkubwa wa wafunguliwaji. Siku hizi pafomensi ya kujifungua imeshuka sana.