Aliwasaidia sana wavuka barabara ingawa kwa upande mwingine alikuwa anasababisha foleni kubwa sana ya magari kwa karibu wakati wote alipokuwepo akivusha watu na hasa watoto. Hatahivyo nawapa pole ndugu jamaa na marafiki kwa msiba huu. Sisi sote ni waja wa Mwenyezi Mungu na kwake tutarejea.Amefariki dunia leo...mungu amuweke mahali alipomwandalia.amen
Source!,