Ndumilakuwili na mingo zake bwana, lile sijui lilikuwaga toleo gani,
mida ya usiku kituoni anamlia mingo jamaa amkabe kumbe jama naye anampigia hesabu Ndumilakuwili, kujipindua akawahiwa yeye, kumbe Ndumilakuwili mfukoni alikuwa hana kitu jamaa alimtukana.
Kuna kisa kingine cha Ndumilakuwili alikuwa anataka kumkaba mtu basi akatafuta mteja kabisa akawa ana-bargain bei kabla hajamkaba mtu mwenyewe, nilikuwa nacheka sana na bwana Ndumilakuwili.
Kali zaidi ni pale waliingia dili na Lodilofa kwaajili ya mradi wao wa "fruit na juice ya ajabu"
hahahahaha
Nikikumbuka hayo na nkiangalia saiv kinachoendelea kwenye idara ya burudani huwa nakubali kuwa tunapotea tu!
mzee ole, obi na linda
kipepe mzee wa pori
ndumilakuwili kibaka
betina na zena wapinzani wa jadi
pimbi mr love
lodi lofa na mgongo wa chura
aisee umenifurahisha kunikumbusha ndumilakuwilii....siku moja alimuibia briefcase jamaa mmoja hv kumbe wizard...si akaanza kupuliza puto kijiweni! kila anapopuliza busha linazidi kushuka kwa ndumilakuwili....da mbona alirudisha!!!
Halafu hii dawa ya kupuliza/kujaza ugpepo puto/tairi la baiskeli na mwizi kujaa bado ipo au zimebaki stori?
sayans yetu haz no xpaya date
muasisi wa katuni na vikaragosi vya sani alikuwa PHILLIP NDUNGURU-RIP
mi LOD LOFA...msinitingishe...