Mafuta yake na magamba yake yanatumika kuleta utajiri....endapo ukaya tumia.
Asili ya neno kakakuona(pangolins kwa kingereza)ni nchini malaysia,likiwa na maana ya "mwenye kujikunja" kwasababu kakakuona hufanya hivyo kama defence mechanism yake ili kujikinga na maadui...life span ya kakakuona ni takribani miaka 20,moja ya sifa kubwa ya kakakuona ni hii;ulimi wake ni mrefu kuliko mwili mwake,na ngozi yake imefunikwa na magamba...faida kubwa ya kakakuona kwa mwanadamu haswa wale wanaoamini miujiza ni pamoja na "utabiri",yaani kakakuona anakuwa kama "futurist" anayetumika kuwatabiria watu matukio ya mbeleni,ukiacha hilo la utabiri kakakuona hana faida yoyote kwa mwanadamu na pia ni nadra sana kwa yeye kuonekana
Unayatumiaje mkuu?.
Hahahahahaha umetishaaMkuu fafanua kidogo ili nikimpata nisije kumuacha
Bro mshana hebu tusaidie hii makituMafuta yake na magamba yake yanatumika kuleta utajiri....endapo ukaya tumia.
Mkuu uongo/ukweli nipo upande wako big upAsili ya neno kakakuona(pangolins kwa kingereza)ni nchini malaysia,likiwa na maana ya "mwenye kujikunja" kwasababu kakakuona hufanya hivyo kama defence mechanism yake ili kujikinga na maadui...life span ya kakakuona ni takribani miaka 20,moja ya sifa kubwa ya kakakuona ni hii;ulimi wake ni mrefu kuliko mwili mwake,na ngozi yake imefunikwa na magamba...faida kubwa ya kakakuona kwa mwanadamu haswa wale wanaoamini miujiza ni pamoja na "utabiri",yaani kakakuona anakuwa kama "futurist" anayetumika kuwatabiria watu matukio ya mbeleni,ukiacha hilo la utabiri kakakuona hana faida yoyote kwa mwanadamu na pia ni nadra sana kwa yeye kuonekana
Sasa kama unamfahamu mbona hujafunguka vya kutosha zaidi ya kumfuga mwezi 1? Na tutaamini vp kama kweli unamfahamu?nimewahi kumuokota, nikamfuga kwa takribani mwezi mzima kabla ya maaskari kuja kunipokonya, ulimi wake ni mrefu na unamsaidia kula sisimizi kutoka kwenye mashimo marefu. binafsi namfahama sana mnyama huyu!
Sasa kuyatumiaje? Kujitawazia kutembea nayo au kupikia kama mwiko? Eleweka mkuu.Mafuta yake na magamba yake yanatumika kuleta utajiri....endapo ukaya tumia.