hahahahaha unanichekesha sana. Mbona unalia lia sana. Hebu badirisheni bana katiba yenu yaani mnataka mpige kampeni ndani ya bunge!!!? Ngoja tujenge kwanza nchi baadae litakuwa live lakini sio sasa.
"Nalialia" kwa kutetea uhuru wa kupata habari zisizochujwa? Mkuu, wewe siyo serious mind.