Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
Kwanini utumie 'maguvu' kujionyesha u mbora ki hivyo badala kuachia 'Ukweli Ukidhihiri, uongo hujitenga' ikuhukumu?
...Do you feel Valued? ...Unashirikishwa? Unajiskia nawe kuwa ni sehemu muhimu ya maamuzi, ushauri, etc?
- Nyumbani kwako? ...wanao/mkeo/msaidizi nyumbani/mlinzi/shamba boy etc
- kwa familia yako?...kaka/dada/binamu/baba na mama. etc
- kazini kwako?...juniors/seniors wako?
- kwa marafiki zako?...au wanakuburuza tu, bendera fata upepo?
- kwenye jamii yako?...i.e majirani, etc
- kwa mwenza wako?...mpenzi/mke/mume etc
Kama ni hivyo, ulichukua/unachukua hatua gani kujihadhari na tabia hiyo isijirudie ukizingatia vigezo vyote i.e
Nyumbani kwako, Kazini, Mapenzi, Familia, etc...Why do you have to force yourself pleasing people?
kumbuka vile vile, yawezekana....;