OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,381
- 104,490
Umenichosha na wewe, kila dakika sms
Mkiachwaaa mnalia lia hovyooooKuna wakati mtu unakuwa hauna mood ya kuchat. Hasa ukute kidemu kinajikomba kwako na tumeseji unakablue tick tu ili ajiongeze kuwa hauna muda naye kwa wakati huo
Sasa rafiki ako ndo akushughurishe hivyooo??Rafiki yangu
Hayo mambo yenu ya binafsi hatuwezi kukusaidiaEt jaman mtu unamtumia txt anaku blue tik anakaa kimya unamchukuliaje? Sipendezewi na hii tabia
kwann sasa dada???Kuna lishibombo moja nilikua naliona lina akili mara ghafla nashangaa ujumbe eti " Na penzi letu kama summa na ulinzi kama summa'.Sijajibu mpaka leo .Niliona nadeal na box hapa.
Ukiachwa inabidi uachike tu kulia hakusaidii 🤣🤣🤣Mkiachwaaa mnalia lia hovyoooo
Kweli kabisaUsitume message ya pili kama ya kwanza haijajibiwa, unyonge huoo
Mi sio dada😀😀kwann sasa dada???
Ila kwako ntatuma hata mara 10 hata nisipojibiwa😂Kweli kabisa
😂😂😂Ila kwako ntatuma hata mara 10 hata nisipojibiwa😂
Nenda kwa mwamposa akutoe hilo pepo la ngonoMh moyo unaniuma ujui tu mpaka now ajajibu bas tu
Tobo tatu mpk 4 anazo unarara nae mbere hukoSiku mkigundua huyu mwamba ni mwanaume mda utakuwa umeenda sana.