gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
inaonekana uko partial virgin, hujajaza basi so experience za kuchitiwa na vitu vya ajabu hujazipata.
Maumivu yanazidi sana kutegemea na umechitiwa na nani.
Imagine unamkuta honey wako kamwinamisha mbuzi, hivi kweli mbuzi naye kakushinda nini? Au papai?
Anyway, on a serious note, inajalisha sana kacheat na nani, bora acheat na mtu mnaendana endana lol
wengine ukiwaza tu, kweli nashare na Mwaju? Apetite inapotea miaka 50.
to me its better akacheat na mtu aliyenizid engo zote yaani kikazi, uchumi, uzuri wa sura na umbo, ucheshi na upendo chini ya hapo hamu inaisha aisee.
miye ANA alikuwa binti wa kimarangu mzuri wa sura sana japo vingine nilimzidi sana tu.