Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,138
- 10,539
Habari za mida hii wakubwa?
Naomba kuleta ombi hili kwenu mwenye uwezo asaidie.
Kuna mama mmoja (kamshirikisha mume wake) hapa anahitaji fedha kiasi cha Tsh milioni 5 (mkopo), anaweka dhamana nyumba yake (hati ya nyumba ipo).
Mtaandikishana kwenye vyombo vya sheria na taratibu zote zitafuatwa.
Huyu mama (na mumewe) anafanya biashara ya mama ntilie, kwa mujibu wake, mwisho wa mwezi anaingiza faida Tsh 500,000 minimum.
Benki imeshindikana kwa sababu hana TIN namba na leseni ya biashara.
Karibuni
Naomba kuleta ombi hili kwenu mwenye uwezo asaidie.
Kuna mama mmoja (kamshirikisha mume wake) hapa anahitaji fedha kiasi cha Tsh milioni 5 (mkopo), anaweka dhamana nyumba yake (hati ya nyumba ipo).
Mtaandikishana kwenye vyombo vya sheria na taratibu zote zitafuatwa.
Huyu mama (na mumewe) anafanya biashara ya mama ntilie, kwa mujibu wake, mwisho wa mwezi anaingiza faida Tsh 500,000 minimum.
Benki imeshindikana kwa sababu hana TIN namba na leseni ya biashara.
Karibuni