Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Mkulu hili ni tatizo LA KITAIFA....
Hehehe! Taifa limekumbwa na mtikisiko kwa sababu ya tatizo hilo.
Mkulu hili ni tatizo LA KITAIFA....
Geoff kumbe weye ndo invizible ..hahaha lakini hujui Carmel anafeel kwa namna gani
..hakuna Mbaya
Mie namfeeel Invisible sio wewe invizibombona unanifeel wakati unajua mimi ni mume wa mwanamke mwenzio?
this is serious case!talaka tu hapoTufanye mkeo ni The Masaki-Makambako wonder of the wedding. We unajua yuko kwenye unajimu........ Lakini...................Unamkuta na Fidel ndani ya Usalule........... Ah! Ngoja tuishie hapo.
Safi sana mamushka. Sasa hebu msome wifiyo hapo chini....... Agrrrrrr!kila mtu humu JFana nafasi yake kwangu......we complement each other
wapwaz and binamuz ni inevitable, hili halina mjadala
laaziz wangu Balantanda...thats given
hata hivyo chuki kwenye moyo wangu siipi nafasi nisije kufa kabla ya siku zangu
Mie namfeeel Invisible sio wewe invizibo
Safi sana mamushka. Sasa hebu msome wifiyo hapo chini....... Agrrrrrr!
this is serious case!talaka tu hapo
this is serious case!talaka tu hapo
Shikamoo baba watoto!Hivi taratibu za talaka zikoje? Hebu angalia hapo chini shemejio anamfeel nani......
!!!!!!
hakika tena!NCHA YA UPANGA TU HAPO...!sio zile za ''x-pin,rudisha upanga wako alani...''Hapo talaka si haki. Haki ni ncha ya upanga tu hapo.
Apo anakwambia inatakiwa ncha ya upanga manake,,,,,, talaka haitoshi
Shikamoo baba watoto!
Wewe Nakupenda tena nakuzimia,huyo invisible namfeel tu.Hata usiwe na shaka mpenzi sitisha mipango ya talaka tafadhali.
FL1 mambo? Mbona kama nataka kusoma kwa undani sana apo
mpwaaz kuna jukwaa la hali ya hewa za gesti hujaliona?Hii hali ya hewa leo jamani gesti za Sinza lazima zitajaa mapema, halafu itasababisha watu kuvunja nadhiri zao za Kwaresima!
mbona unanifeel wakati unajua mimi ni mume wa mwanamke mwenzio?[/QUOTE]
Leleleliloleleliloooooooooo babaaaaaaaaaaaaaaa!
Hasira za niniiiii oooooo babaaaaaaa
wataka kuniua bureeeeee babaaaaa
chuki ya nini kati yangu mimi na weweeeeeeeeee!
Wangu hayupoooooooo,wako hayupooooooooo
Mie nina wangu Iribini nawe una wako nyumbaniiiiiii
Chuki ya nini kati yangu mimi na weweeeeeee X2
Nasemaaaa sina makosaa wewe babaaaaaaa.
Shikamoo baba watoto!
Wewe Nakupenda tena nakuzimia,huyo invisible namfeel tu.Hata usiwe na shaka mpenzi sitisha mipango ya talaka tafadhali.
UmesamehewaShikamoo baba watoto!
Wewe Nakupenda tena nakuzimia,huyo invisible namfeel tu.Hata usiwe na shaka mpenzi sitisha mipango ya talaka tafadhali.
Kila shetani na mbuyu wake.inaelekea baba Matesha hiyo huwa inamlewesha kabisa......
kila wakati akikupiga mkwara unaanguka na 'shikamoo'.....
Kila shetani na mbuyu wake.
khaaaaaaaaaaa! siamini majicho yangu.Hata wewe? of all shemejiz?Apo anakwambia inatakiwa ncha ya upanga manake,,,,,, talaka haitoshi