Ester505
JF-Expert Member
- Jul 14, 2020
- 794
- 1,030
Nawasalimu kwa salaamu pendwa,ya kitaifaaa.
Kazi iendeleee.
Endelea na kazi ya kukitafuta hicho kitu kwa mchepuko, lakini kumbuka Kuna mtu KAKIONA kwa mkeo.
Na tukumbushane tu kuwa, ukisema cha Nini wenzio wanalia wanasema watakipata lini.
TULIA KWA MKEO.
Kazi iendeleee.
Endelea na kazi ya kukitafuta hicho kitu kwa mchepuko, lakini kumbuka Kuna mtu KAKIONA kwa mkeo.
Na tukumbushane tu kuwa, ukisema cha Nini wenzio wanalia wanasema watakipata lini.
TULIA KWA MKEO.