Unachokitafuta kwa mchepuko, kuna mtu kakiona kwa mke wako

Haya maisha never take seriously kama unachepuka wewe chepuka na ishi kama huna mke utaenjoy sana.
 
Hata ututishe vipi ..wanaume hadi akili iturudie ni hadi kichwa cha chini kitimize malengo yake.
 
Nawasalimu kwa salaamu pendwa,ya kitaifaaa.
Kazi iendeleee.
Endelea na kazi ya kukitafuta hicho kitu kwa mchepuko,lakini kumbuka Kuna mtu KAKIONA kwa mkeo.
Na tukumbushane TU kuwa,ukisema Cha Nini wenzio wanalia wanasema watakipata lini.
TULIA KWA MKEO.
Ipo wazi but who cares?
 
Back
Top Bottom