Unaachana na tabia gani 2024?

Escotter20

JF-Expert Member
Jul 20, 2020
465
842
Heri ya krismass kwa wakristo wote

Kuelekea mwaka 2024 imebaki wiki moja.

Kunatabia ninaziacha mwaka huu👇

1. Kubeti
2. Futa account insta , fb na twitter
3. Kuacha kushabikia yanga
4. Kuacha kabisa ngono

Na-replace na hizi tabia👇

1. Kufanya mazoezi
2. Sala
3. Kujipenda mwenyewe
4. Kusoma vitabu

Je, na wewe utaacha zipi? Na utaenda na zipi?

Karibuni kwa mchango.
 
Back
Top Bottom