Hivi huyu Jamaa MUZAMIL ambaye maeneo ya Sinza Mori ana yard anapandisha Ghorofa 8 lakini LIMESIMAMISHWA Ghorofa ya 2!!! Kuna mtu ana hint???
Kafulia dili nyingi zimegoma! Halafu TRA wamembana anapotoa fedha za kujengea na company yake inalipa fedha kidogo tax, jamaa kauza gari karibia zote amebaki na gari za tours tu na zake za kutembelea.
In short hali yake sio nzuri