Una kiwanja mbezi beach/tegeta/watch out mtandao wa papa msofe na wizara ya ardhi

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,148
Ndugu wapendwa

Huyu ndugu yangu ni mtu wa nne kukumbwa na hii shida..kuna kundi liko wizara ya ardhi na mama tibaijuka analijua fika wanafanya klazi ya kubadilisha viwanja vya watu kwenye system ..kuna siku nilikuja na utapeli uliokuwa ukiongelewa wa huyu bwana papa msofe na mchaga mmoja aitwaye Mlay ambae Clouds ilipofuatilia aliitoa docs zote na kusema ameshangaa kule wizaran wamebadilishaje na huku saini kadhaa zikijirudia kwa huyo bwana ambae mwanzoni aliijiita Hashim.

Alipotakiwa kwenda wizaran akapeleka barua kama yeye..huyu bana amekuwa akila na mapolisi wa Kawe na mkuu wa kituo cha kawe na akadiriki kuvunja nyumba ya huyo bana kisa akuwepo nchini mwakaa mmoja.

Sasa basi leo niko mitaa ya ngrooo ngroooongroooo kijana wangu mmoja nae akaanza kutatngaza awezi hata kula ana shida, nini kilichomsibu anasema yeye alinunua kihalali na hata amelipia hiko kiwanja. Alipofika majuzi kwenda kufanya usafi akakuta kibanda chake cha vyumba viwili kimepigwa chini na mlinzi kapewa hela ameondoka.

Alipoulizia akaambiwa na majirani kuna mtu anajiita Adolph..na kaacha namba zake alipompigia akaanza kumuuliza shida yake akamueleza akamwambia unamjua papa Msofe kuwa makini na malalamiko yako akakata alipoenda wizarani akakuta wamebadilisha, bahati anajuana na waziri mmoja wakatumiana kimemo na mama.

Jamaa wanatafutana na mbaya zaidi vibali vyote vina saini za watu wamoja..na huyo papa amejenga fasta yuko kati kati na alivyoona majuzi ameitwa wizarana na wakubwa amempigia anaomba akutane nae nikamwambia unajua maana ya koma akome kama alivyokoma ziwa la mamake nikamwambia kundi lao kukusahaulisha na kukutupa baharini kama Osama ukawa mtanzania wa kwanza kuzikwa baharini bila kujulikana kitu cha kawaida afadhali Osama ndugu walijua yuko baharini.

Kama una ndugu ana kiwanja sehemu hizo kuwa makini ni mtandao mrefu wanatumia majina ya

Seif
Adolph
Hashim
Papa msofe hili huwa wazi akiwa anaitajika lakini mwanzoni anatumiaga hayo majina
kwa nini ukachukue ardhi ya mtu alielipia na kupewa kihalali ni nani anawalinda huko
wizara ya ardhi jamani?
 
Untouchables, unspeakable s and undiscussables

Part of the rotten, albeit acceptable land scam in the municipalities, ministry and the country.

Long live CCM.
 
Ndugu wapendwa

Huyu ndugu yangu ni mtu wa nne kukumbwa na hii shida..kuna kundi liko wizara ya ardhi na mama tibaijuka analijua fika wanafanya klazi ya kubadilisha viwanja vya watu kwenye system ..kuna siku nilikuja na utapeli uliokuwa ukiongelewa wa huyu bwana papa msofe na mchaga mmoja aitwaye Mlay ambae Clouds ilipofuatilia aliitoa docs zote na kusema ameshangaa kule wizaran wamebadilishaje na huku saini kadhaa zikijirudia kwa huyo bwana ambae mwanzoni aliijiita Hashim.

Alipotakiwa kwenda wizaran akapeleka barua kama yeye..huyu bana amekuwa akila na mapolisi wa Kawe na mkuu wa kituo cha kawe na akadiriki kuvunja nyumba ya huyo bana kisa akuwepo nchini mwakaa mmoja.

Sasa basi leo niko mitaa ya ngrooo ngroooongroooo kijana wangu mmoja nae akaanza kutatngaza awezi hata kula ana shida, nini kilichomsibu anasema yeye alinunua kihalali na hata amelipia hiko kiwanja. Alipofika majuzi kwenda kufanya usafi akakuta kibanda chake cha vyumba viwili kimepigwa chini na mlinzi kapewa hela ameondoka.

Alipoulizia akaambiwa na majirani kuna mtu anajiita Adolph..na kaacha namba zake alipompigia akaanza kumuuliza shida yake akamueleza akamwambia unamjua papa Msofe kuwa makini na malalamiko yako akakata alipoenda wizarani akakuta wamebadilisha, bahati anajuana na waziri mmoja wakatumiana kimemo na mama.

Jamaa wanatafutana na mbaya zaidi vibali vyote vina saini za watu wamoja..na huyo papa amejenga fasta yuko kati kati na alivyoona majuzi ameitwa wizarana na wakubwa amempigia anaomba akutane nae nikamwambia unajua maana ya koma akome kama alivyokoma ziwa la mamake nikamwambia kundi lao kukusahaulisha na kukutupa baharini kama Osama ukawa mtanzania wa kwanza kuzikwa baharini bila kujulikana kitu cha kawaida afadhali Osama ndugu walijua yuko baharini.

Kama una ndugu ana kiwanja sehemu hizo kuwa makini ni mtandao mrefu wanatumia majina ya

Seif
Adolph
Hashim
Papa msofe hili huwa wazi akiwa anaitajika lakini mwanzoni anatumiaga hayo majina
kwa nini ukachukue ardhi ya mtu alielipia na kupewa kihalali ni nani anawalinda huko
wizara ya ardhi jamani?

Kwa kweli mmefulia watu kama wewe mnaohodhi viwanja miaka 30 ilhali mmeshindwa kuviendeleza zaidi ya kujenga vibanda vya mabati vya walinzi. Sheria imeweka wazi kabisa viwanja kama hivyo rukhsa kutaifishwa. Wee niambie tu kiwanja chako na kibanda chake kiko Mbezi Beach sehemu gani nianze kukifanyia kazi. Kudadeki!
 
Papa msofe yeye nimeshamsikia sana na huo utapeli wake,yeye kitu anachofanya anatumia loop hole ya sheria,kazi yake ni kuzunguka kwenye viwanja vyote ambayo vimeshapimwa na serikali huko mbez beach,ambavyo hakuna mwenyewe hajajenga kwa miaka mingi na ameweweka kibanda na mlinzi,kitu anachofanya anampa mlinzi hela kidogo anamwambia apotee,mlinzi mbele ya hela anapotea,papa msofe anaenda wizarani wanatumia ile loop hole ya sheria kuwa kiwanja hakijaendelezwa kwa miaka mitatu kwa hiyo anayanganywa mmiliki halali anapewa mmiliki mwingine anayeweza kukiendeleza anayeitwa papa msofe,papa msofe anajenga fasta halafu hapotezi mda anatafuta mseti anauza fastafasta milioni mio sita au mia saba anachanja mbuga,uzuri wa papa msofe akishauza hayo mahela anayatafunia hapahapa bongo kwa hiyo anakuza uchumi wa nchi na kuleta maendeleo ya kuendeleza yale maeneo ambayo hayajaendelezwa kwa mda mrefu.
 
Duh!kweli huyo ndie papa msofe!
Papa msofe yeye nimeshamsikia sana na huo utapeli wake,yeye kitu anachofanya anatumia loop hole ya sheria,kazi yake ni kuzunguka kwenye viwanja vyote ambayo vimeshapimwa na serikali huko mbez beach,ambavyo hakuna mwenyewe hajajenga kwa miaka mingi na ameweweka kibanda na mlinzi,kitu anachofanya anampa mlinzi hela kidogo anamwambia apotee,mlinzi mbele ya hela anapotea,papa msofe anaenda wizarani wanatumia ile loop hole ya sheria kuwa kiwanja hakijaendelezwa kwa miaka mitatu kwa hiyo anayanganywa mmiliki halali anapewa mmiliki mwingine anayeweza kukiendeleza anayeitwa papa msofe,papa msofe anajenga fasta halafu hapotezi mda anatafuta mseti anauza fastafasta milioni mio sita au mia saba anachanja mbuga,uzuri wa papa msofe akishauza hayo mahela anayatafunia hapahapa bongo kwa hiyo anakuza uchumi wa nchi na kuleta maendeleo ya kuendeleza yale maeneo ambayo hayajaendelezwa kwa mda mrefu.
<br />
<br />
 
Mimi Nampa sapot sasa Jamaaa Papaaa Msofe. Nyika Vome kamua baba kwanini hawajajenga hata mimi natafuta hicho hicho kama upo bieeeeee Papa Msofe nipe maujanja mimi OP Predeeesheee Farasi bubu.
 
Usimjaribu, mtu namna huyo huwa ni hatari kupindukia.

Lol, huu woga unanikumbusha zile kauli za Mwema kuwa mafisadi hawakamatiki kwani nchi itayumba. Yaani Tanzania yenye jeshi la polisi na la wananchi plus TISS tunashindwa kushughulikia hawa mafia?. Basi ni dhahiri kuwa mtandao wao upo mpaka kwenye vyombo vya dola na ndiyo maana hata Rais anawaogopa lol!.

Hii inanikumbusha kisa cha DUDU wa Jamaica aliyetikisa serikali wakati wa kukamatwa kwa tuhuma za mihadarati
 
mwaya endelea na esiqwiqwi sie tnaaerasha na wakina msofe naomba asikanyage nyumban kwangu maana kama anavunja na kujenga hatari saana
 
Ndugu wapendwa

Huyu ndugu yangu ni mtu wa nne kukumbwa na hii shida..kuna kundi liko wizara ya ardhi na mama tibaijuka analijua fika wanafanya klazi ya kubadilisha viwanja vya watu kwenye system ..kuna siku nilikuja na utapeli uliokuwa ukiongelewa wa huyu bwana papa msofe na mchaga mmoja aitwaye Mlay ambae Clouds ilipofuatilia aliitoa docs zote na kusema ameshangaa kule wizaran wamebadilishaje na huku saini kadhaa zikijirudia kwa huyo bwana ambae mwanzoni aliijiita Hashim.

Alipotakiwa kwenda wizaran akapeleka barua kama yeye..huyu bana amekuwa akila na mapolisi wa Kawe na mkuu wa kituo cha kawe na akadiriki kuvunja nyumba ya huyo bana kisa akuwepo nchini mwakaa mmoja.

Sasa basi leo niko mitaa ya ngrooo ngroooongroooo kijana wangu mmoja nae akaanza kutatngaza awezi hata kula ana shida, nini kilichomsibu anasema yeye alinunua kihalali na hata amelipia hiko kiwanja. Alipofika majuzi kwenda kufanya usafi akakuta kibanda chake cha vyumba viwili kimepigwa chini na mlinzi kapewa hela ameondoka.

Alipoulizia akaambiwa na majirani kuna mtu anajiita Adolph..na kaacha namba zake alipompigia akaanza kumuuliza shida yake akamueleza akamwambia unamjua papa Msofe kuwa makini na malalamiko yako akakata alipoenda wizarani akakuta wamebadilisha, bahati anajuana na waziri mmoja wakatumiana kimemo na mama.

Jamaa wanatafutana na mbaya zaidi vibali vyote vina saini za watu wamoja..na huyo papa amejenga fasta yuko kati kati na alivyoona majuzi ameitwa wizarana na wakubwa amempigia anaomba akutane nae nikamwambia unajua maana ya koma akome kama alivyokoma ziwa la mamake nikamwambia kundi lao kukusahaulisha na kukutupa baharini kama Osama ukawa mtanzania wa kwanza kuzikwa baharini bila kujulikana kitu cha kawaida afadhali Osama ndugu walijua yuko baharini.

Kama una ndugu ana kiwanja sehemu hizo kuwa makini ni mtandao mrefu wanatumia majina ya

Seif
Adolph
Hashim
Papa msofe hili huwa wazi akiwa anaitajika lakini mwanzoni anatumiaga hayo majina
kwa nini ukachukue ardhi ya mtu alielipia na kupewa kihalali ni nani anawalinda huko
wizara ya ardhi jamani?

Fisadi huyu asikawizwe. Apigwe risasi mara moja, kama wanavyofanya kule China! Kwishney! Rushwa adui wa haki! Hata vitabu vyote takatifu vimesema!
 
Fisadi huyu asikawizwe. Apigwe risasi mara moja, kama wanavyofanya kule China! Kwishney! Rushwa adui wa haki! Hata vitabu vyote takatifu vimesema!
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
HYU KIBAKA WA KIPARE HACHOKI TANGU MDA WOOOTE ANAKWAPUA TU VYA WATU PAMBAV UPO SIKU YAKE! WHAT GOES AROUND COMES AROUND, NA MSIBANI SIENDI NG'O UPARENI UMEZIDI KHAAA
 
mtu namna huyo huwa ni hatari kupindukia.


seo4.jpg
seo3.jpg

signature.jpg
song.jpg

baby2.jpg
 
Hivi huyu Jamaa MUZAMIL ambaye maeneo ya Sinza Mori ana yard anapandisha Ghorofa 8 lakini LIMESIMAMISHWA Ghorofa ya 2!!! Kuna mtu ana hint???
 
Well, hata ID yako inaonesha kuwa wewe ni mpenda vya kunyonga-shame upon you na ujue utawala wa sheria unakuja.
Kwa kweli mmefulia watu kama wewe mnaohodhi viwanja miaka 30 ilhali mmeshindwa kuviendeleza zaidi ya kujenga vibanda vya mabati vya walinzi. Sheria imeweka wazi kabisa viwanja kama hivyo rukhsa kutaifishwa. Wee niambie tu kiwanja chako na kibanda chake kiko Mbezi Beach sehemu gani nianze kukifanyia kazi. Kudadeki!
<br />
<br />
 
Back
Top Bottom