Heshima kwenu wakuu.
Naombeni msaada wa kueleweshwa kua hivi ni kwa nini makampuni mengi hasa ya kigeni au hata nchi za nje, wanapotaka kukutengenezea kitambulisho lazima kwanza wajue gurupu lako la damu?
Hii inamaana gani? Au ina umuhimu gani kwa muajiriwa au muajiri? Jamani naombeni kufahamishwa natanguliza shukrani.
Naombeni msaada wa kueleweshwa kua hivi ni kwa nini makampuni mengi hasa ya kigeni au hata nchi za nje, wanapotaka kukutengenezea kitambulisho lazima kwanza wajue gurupu lako la damu?
Hii inamaana gani? Au ina umuhimu gani kwa muajiriwa au muajiri? Jamani naombeni kufahamishwa natanguliza shukrani.