Umri upi unafaa?

MwanaFalsafa1

JF-Expert Member
Feb 26, 2008
5,565
836
Jamani wakuu nauliza hili swali kutokana na post ya moja wa members kwenye moja ya threads. Je umri upi au wakati upi unafaa kuanza mapenzi? Na ni kwa sababu gani umri au wakati huo ndiyo muafaka? Naombeni maoni yenu wadau.
 
Kwa vidume nadhani miaka 5 inafaa. nakumbuka mimi nilianza kabla sijaanza darasa la kwanza. Nilianza kumega nikiwa kati ya umri wa miaka 5 na 6.
 
Ukishapevuka vya kutosha uwe responsible na ikiwezekana subiri uoe .

Japo dini ina sema tusubiri tuoe/tuolewe is it reasonable or logical to ask that of someone? Ni wangapi wanaoingia kwenye ndoa wakiwa mabikiri? Ni wangapi wanaingia kwenye ndoa wakiwa wamefanya mapenzi na mtu mmoja tu? I think this is something most people preach but don't follow including the parents themselves who sing this song to their children all the time.
 
Well let me start by asking you since you this. Did you feel anything having sex at that age? How old was the girl you did?

Of course I felt something pleasurable even though I didn't nut. I take it you didn't experiment it when you were a youngin'..
 
Kimaumbile umri wa kufanya mapenzi ni pale mtu anapokuwa na ukomavu wa kutosha kimaungo (kubalehe) kiasi cha kuweza kufanya ngono.
Kimaadili hakuna umri unaofaa kufanya mapenzi (ngono/uasherati/zinaa). Ila upo umri unaofaa kufunga ndoa.
 
Japo dini ina sema tusubiri tuoe/tuolewe is it reasonable or logical to ask that of someone? Ni wangapi wanaoingia kwenye ndoa wakiwa mabikiri? Ni wangapi wanaingia kwenye ndoa wakiwa wamefanya mapenzi na mtu mmoja tu? I think this is something most people preach but don't follow including the parents themselves who sing this song to their children all the time.
Huwezi kufundisha kuwa iba tu kwa vile majority wanaiba.Unafundisha kile kilicho chema siku zote hata kama mwenyewe hutendi.
My assumption ni kuwa wewe ushakuwa mkubwa na unaexperience yako kwenye hili.Wewe kwani unaonaje?
 
Huwezi kufundisha kuwa iba tu kwa vile majority wanaiba.Unafundisha kile kilicho chema siku zote hata kama mwenyewe hutendi.
My assumption ni kuwa wewe ushakuwa mkubwa na unaexperience yako kwenye hili.Wewe kwani unaonaje?

Personally I think one should do it when they are mature and ready to carry the responsibility of the actions. Mkuu kufundisha ambacho wewe mwenyewi hutendi ni hypocrisy au kwa kiswahili unafiki. Ndiyo maana kuna kitu kinaitwa "moral right". Ni kweli tuna ambiwa tusubiri mpaka ndoa. Lakini je is it logical? Mimi nadhani mtu kufanya mapenzi kabla ya kuoa hakukufanya mhuni kwa maana mtu una weza kuwa na mpenzi wako mmoja na wala hautembei tembei hapa na pale. Anyway that is just my opinion.
 
Kimaumbile umri wa kufanya mapenzi ni pale mtu anapokuwa na ukomavu wa kutosha kimaungo (kubalehe) kiasi cha kuweza kufanya ngono.
Kimaadili hakuna umri unaofaa kufanya mapenzi (ngono/uasherati/zinaa). Ila upo umri unaofaa kufunga ndoa.

Mimi naonaga hii kauli inakuaga na unafiki sana kwa wengi wa watu wanaosema kwa sababu ni dhahiri wengi hawa subirii mpaka ndoa. Wapo wanaofanya hivyo lakini ni wachache na hata hao wachache baadhi yao wamebaki bikiri si kwa kupenda bali mazingira. Najua utasema kwamba si kwa sababu wengi hufanya na wewe ufanye. Nakubaliana na hiyo concept. Ila tukiacha dini zetu aside is it reasonable kusema watu wasubiri mpaka ndoa? Na kumbuka kuwa mtu si lazima awe mhuni kufanya mapenzi. Si lazima awe ana tembea na kila mtu.
 
Personally I think one should do it when they are mature and ready to carry the responsibility of the actions. Mkuu kufundisha ambacho wewe mwenyewi hutendi ni hypocrisy au kwa kiswahili unafiki. Ndiyo maana kuna kitu kinaitwa "moral right". Ni kweli tuna ambiwa tusubiri mpaka ndoa. Lakini je is it logical? Mimi nadhani mtu kufanya mapenzi kabla ya kuoa hakukufanya mhuni kwa maana mtu una weza kuwa na mpenzi wako mmoja na wala hautembei tembei hapa na pale. Anyway that is just my opinion.
Mkuu, wapo hata kama ni wachache ambao husubiri mpaka wafunge ndoa ndiyo wafanye tendo la ndoa. Sisi inafaa kuwafundisha watoto wetu kilichoadilifu hata kama sisi wenyewe tulishindwa. Si unafiki. Kushindwa kwetu kusitufanye tuache kutimiza wajibu wetu. Watoto/vijana wana haki ya kuujua ukweli wanaopaswa kuuishi. Na hata pale wanapokwenda kinyume wajue wamekosea/ wawe answerable.

Watoto/vijana tunawafundisha wasubiri kwa sababu:
1. Kimaadili si sahihi kufanya ngono nje ya ndoa.
2. Wanakuwa pia na majukumu yao, mf. masomo ambayo yanahitaji utulivu wa akili na concentration. Ngono wakati huo inaweza kumharibia masomo mf. kupata mimba kwa mtoto wa kike, au kwa mvulana kupata mtoto kwa mpenziwe kabla ya kuwa na uwezo wa kumlea, nk. They have to be one at a time. Mabo mengine yatakuja kwa wakati wake.
 
Mkuu, wapo hata kama ni wachache ambao husubiri mpaka wafunge ndoa ndiyo wafanye tendo la ndoa. Sisi inafaa kuwafundisha watoto wetu kilichoadilifu hata kama sisi wenyewe tulishindwa. Si unafiki. Kushindwa kwetu kusitufanye tuache kutimiza wajibu wetu. Watoto/vijana wana haki ya kuujua ukweli wanaopaswa kuuishi. Na hata pale wanapokwenda kinyume wajue wamekosea/ wawe answerable.

Watoto/vijana tunawafundisha wasubiri kwa sababu:
1. Kimaadili si sahihi kufanya ngono nje ya ndoa.
2. Wanakuwa pia na majukumu yao, mf. masomo ambayo yanahitaji utulivu wa akili na concentration. Ngono wakati huo inaweza kumharibia masomo mf. kupata mimba kwa mtoto wa kike, au kwa mvulana kupata mtoto kwa mpenziwe kabla ya kuwa na uwezo wa kumlea, nk. They have to be one at a time. Mabo mengine yatakuja kwa wakati wake.

Hapo nime kupata mkuu na hizo sababu mbili ulizo toa zipo valid sana. Lakini pia hilo linazua swali lingine. Kwa hali ilivyo mzazi lazima ajue pia kuwa chance ya mwanae kukua mpaka kuoa/kuolewa akiwa "pure" ni ndogo mno. Je si sahihi kuwa fundisha ni nini wafanye kama wakishindwa kabisa? Si sahihi kucome up with some thing a bit more reasonable than subiri mpaka ndoa?
 
Kwa vidume nadhani miaka 5 inafaa. nakumbuka mimi nilianza kabla sijaanza darasa la kwanza. Nilianza kumega nikiwa kati ya umri wa miaka 5 na 6.

true????????????? kabla hujaanza darasa la kwanza? ulikuwa na miaka mingapi? 5?? nani ulifanya nae katika huo umri?
DU!!!
 
Kwa vidume nadhani miaka 5 inafaa. nakumbuka mimi nilianza kabla sijaanza darasa la kwanza. Nilianza kumega nikiwa kati ya umri wa miaka 5 na 6.

true????????????? kabla hujaanza darasa la kwanza? ulikuwa na miaka mingapi? 5?? nani ulifanya nae katika huo umri?
DU!!!

...wala sishangai... yalishanikuta hayo. Kina mama mjichunge sana hao ma hause girls mnaowafunga ndani, wengine walitu/wanawa-abuse (vitoto vya kiume) na kutuachia psychological scars for life...
 
Kwa vidume nadhani miaka 5 inafaa. nakumbuka mimi nilianza kabla sijaanza darasa la kwanza. Nilianza kumega nikiwa kati ya umri wa miaka 5 na 6.

lol!! Naona ulianza kipindi cha kombolera na mchezo wa kibababa na kimamama.

Kwa mtizamo wangu umri muafaka ni kuanzia umri wa kubalehe, maana hapo ndio mwili wa binadamu unaanza kuwa na hisia ya mapenzi. Hivyo kama mtu umeshabalehe na kumpata mwenzi wako wa maisha ni halali tu kula tunda.
 
Last edited:
...wala sishangai... yalishanikuta hayo. Kina mama mjichunge sana hao ma hause girls mnaowafunga ndani, wengine walitu/wanawa-abuse (vitoto vya kiume) na kutuachia psychological scars for life...
sawasawa Mbu!
Hakuna cha hausigel wala hausboi siku hizi wote ni wabaya tu!
Ilishatokea mtoto wa kiume wa miaka 6 kukutwa na magonjwa ya zinaa.Uchunguzi ukabaini kuwa Hausigel ndiye alimuambukiza mtoto.Mbu unaonaje ukaanzisha thread ya manyayaso ya watoto wa kiume?...
 
Back
Top Bottom