Kaka Kapo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2012
- 535
- 330
Wanajamvi naomba nijuzwe kitu kuhusu hizi units za UTT leo nimepita pale sukari house kufuatilia status ya units zangu tangu mwaka 2005 nlivonunua nilinunua units 100 by then kwa gharama ya shs 7000 lengo ni kujua status afu niendelee either kununua au kujitoa!
Baada ya kuangalia ile statement nimeona wamepost mwaka ulofuatia yani 2006 gawiwo langu lilikuwa shs 900 na kwa sababu mie nliomba badala ya kugawiwa pesa wanipe units wakaziconvert sh 900 Kuwa units 8 sasa jumla Nina units 108 zenye thaman ya shs 28000 sijaona gawiwo la kuanzia mwaka 2007 - 2012. Naombeni kujuzwa je kwa hiyo miaka ni kwa nini sijapata units au gawiwo?
Na je ni sahihi nikiendelea kuwekeza kwa hii kitu kuna faida yoyote! Kwa sababu nafikiria kuanzisha utaratibu wa kuwekeza kwa style ya kununua hisa je ni uamuzi sahihi.
Kwa yeyote mwenye utaalamu au mwanahisa wa UTT naomba msaada wako katika hili! Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa mchango wako.
Baada ya kuangalia ile statement nimeona wamepost mwaka ulofuatia yani 2006 gawiwo langu lilikuwa shs 900 na kwa sababu mie nliomba badala ya kugawiwa pesa wanipe units wakaziconvert sh 900 Kuwa units 8 sasa jumla Nina units 108 zenye thaman ya shs 28000 sijaona gawiwo la kuanzia mwaka 2007 - 2012. Naombeni kujuzwa je kwa hiyo miaka ni kwa nini sijapata units au gawiwo?
Na je ni sahihi nikiendelea kuwekeza kwa hii kitu kuna faida yoyote! Kwa sababu nafikiria kuanzisha utaratibu wa kuwekeza kwa style ya kununua hisa je ni uamuzi sahihi.
Kwa yeyote mwenye utaalamu au mwanahisa wa UTT naomba msaada wako katika hili! Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa mchango wako.