Umiliki wa jina la kampuni na trademark

C.T.U

JF-Expert Member
Jun 1, 2011
5,070
3,718
Jamani wakuu habari zenu,
Mimi nilikuwa nina swali moja naomba kuuliza
mfano ukianzisha kampuni yako na ukaipa jina la
itanzania na mfano hiyo kampuni ikawa inashughulika na vitu kama utengenezaji wa vitu vya technology na katika hivyo ukawa una products kama softwares na hardwares na ukawa unazipa majina kama itanzania softwares na ukawa na bidhaa kama TV na simu ukawa unaziita itanzania Tv na simu ukawa unaziita itanzania mobile je

swali langu ni hili....??
KAMPUNI YA APPLE INC wanaweza kuku SUE kisa umetumia title yao ya i KATIKA PRODUCT ZAKO???
NAOMBA NIELEZWE KATIKA HILI
na je ni vitu gani ukivitumia Kampuni nyingine inaweza kuku sue kisa umetumia trademark zao???
 
Trademark ni kitu chochote kinachotumika kilichosajiliwa na kutumiwa na mtu/mhusika aliyekisajiri ili kubainisha tofauti na bidhaa za aina hiyohiyo sokoni, mfano kama ulivyosema jina,alama, nembo, umbile km umbule la chupa,parking style,wimbo,sauti, movement n.k kama halijawahi kusajiliwa na mtu yeyote utakuwa na haki nalo. isipokuwa kama panamtu alishawahi kuisajiri anahaki ya kuku-sue,, lazima Apple wamesajili hiyo worldwide i ndogo kabla ya neno llolote kama ishara ya product zao e.g iPod,iPad,iCloud, etc. kwa hiyo wanaweza kuku sue pana hoja nyingine kama hawajasajili tanzania na wewe ukaisajili hiyohiyo i kwa tazania na Brella wakakubali nadhani kwa tz utakuwa mmiliki sina uhakika nalo kwa zile product ambazo sio famous inawezekana..
 
Jamani wakuu habari zenu,
Mimi nilikuwa nina swali moja naomba kuuliza
mfano ukianzisha kampuni yako na ukaipa jina la
itanzania na mfano hiyo kampuni ikawa inashughulika na vitu kama utengenezaji wa vitu vya technology na katika hivyo ukawa una products kama softwares na hardwares na ukawa unazipa majina kama itanzania softwares na ukawa na bidhaa kama TV na simu ukawa unaziita itanzania Tv na simu ukawa unaziita itanzania mobile je

swali langu ni hili....??
KAMPUNI YA APPLE INC wanaweza kuku SUE kisa umetumia title yao ya i KATIKA PRODUCT ZAKO???
NAOMBA NIELEZWE KATIKA HILI
na je ni vitu gani ukivitumia Kampuni nyingine inaweza kuku sue kisa umetumia trademark zao???

Na wewe igeuze hiyo iTanzania kama wanaleta shida. !tanzania. haitoshi nitafute kwenye kwenye nammba +61413575044
 
Trademark ni kitu chochote kinachotumika kilichosajiliwa na kutumiwa na mtu/mhusika aliyekisajiri ili kubainisha tofauti na bidhaa za aina hiyohiyo sokoni, mfano kama ulivyosema jina,alama, nembo, umbile km umbule la chupa,parking style,wimbo,sauti, movement n.k kama halijawahi kusajiliwa na mtu yeyote utakuwa na haki nalo. isipokuwa kama panamtu alishawahi kuisajiri anahaki ya kuku-sue,, lazima Apple wamesajili hiyo worldwide i ndogo kabla ya neno llolote kama ishara ya product zao e.g iPod,iPad,iCloud, etc. kwa hiyo wanaweza kuku sue pana hoja nyingine kama hawajasajili tanzania na wewe ukaisajili hiyohiyo i kwa tazania na Brella wakakubali nadhani kwa tz utakuwa mmiliki sina uhakika nalo kwa zile product ambazo sio famous inawezekana..

Mimi sio mtaalam wa sheria lakini mbona naona bidhaa nyingi za kichina zina majina yanafanana na zile zenye kambuni miliki? mf. Sonitec badala ya Sony, Sansung badala ya Samsung n.k
 
Back
Top Bottom