EWURA kupitia msemaji wake leo katika radio moja wamejigamba kuwa wamewakamata wauza mafuta wengi sana wanaochakachua mafuta:
Kama hii ni Kweli? Mmewahi kusikia wakiwataja wamiliki hao na kutangaza waziwazi?
Amesema gari yako ikiharibika kwa sababu ya mafuta kuchakachuliwa wanahakikisha umepata gari mpya: Je kuna ushuhuda wowote juu ya hilo kwa watanzania wenzangu?
Kama hii si kweli kwanini anadanganya wananchi???
Kama hii ni Kweli? Mmewahi kusikia wakiwataja wamiliki hao na kutangaza waziwazi?
Amesema gari yako ikiharibika kwa sababu ya mafuta kuchakachuliwa wanahakikisha umepata gari mpya: Je kuna ushuhuda wowote juu ya hilo kwa watanzania wenzangu?
Kama hii si kweli kwanini anadanganya wananchi???