Umewahi kupata Hasara gani kutokana na Fundi Ujenzi kukosea makadirio ya Vifaa?

Kuhusu mafundi Sina hata la kusema hao watu wamefanya hata nashindwa kufurahia hatua nayopiga kwenye ujenzi
Walizidisha nondo kama nne =10000
Bati Moja 27000
Bodi za gypsum 2 =30000
PVC walizidisha
Mbao za kupaulia ndio kabisa walizidisha ila bahati nzuri nilishaleta mtu akanipigia hesabu nilienda kununua Kisha nikasimamia kwa umakini zikatosha walishindwa kabisa kujiamini
Dah!ujenzi Mungu ndie anatupa amani ila unaumiza sana
Mbona kawaida gypsum kuzid mbil,bat moja
 
Huyu fundi hujamtendea haki.
Cha muhimu wewe hakikisha hujaibiwa materials, zote ziingie kwenye nyumba yako. Lakini mtu kutoka jasho na anaondoka bila kulipwa sio sahihi kabisa na Mungu aliyekupa uwezo wa kujenga hawezi kufurahi. Hao vibarua wamekukosea nini mpaka wafanye kazi bila malipo.
Hii story yako imeniuma sana.
Lakn kama fund ni bora hesabu izid kidogo mwisho mnaweza uza mkalipana
Sasa kila tym unayumba makadirio
 
Mbona kawaida gypsum kuzid mbil,bat moja
Ni baada ya Mimi mwenyewe kujiongeza kutokana na uzoefu na kupunguza ye aliweka mf:bati 110 wakati zinahitajika 87 gypsum 35 wakati ni 30 ndio zilikuwa halisi mikanda 52 mi nikachukua 40 na ilitosha
 
Ni baada ya Mimi mwenyewe kujiongeza kutokana na uzoefu na kupunguza ye aliweka mf:bati 110 wakati zinahitajika 87 gypsum 35 wakati ni 30 ndio zilikuwa halisi mikanda 52 mi nikachukua 40 na ilitosha
Ila ipo sana kuna mafund wazur ila hesabu za material hakuna kitu
 
Wacha kabisa hawa mafundi...

Wakati napauwa fundi alisema leta mbao kiasi flani nikaja na ileile idadi yake na mikaongeza hapo kidogo tena, fundi kapiga mbao plus na ile idadi yngu bado mbao zinahitajika kama PCs 15, kumuuliza anadai hajawahi fanya site kama hii adai hapo site kuna miujiza.

Nikaona huyu anacheza na akili yangu, nikampa option ya tufanyaje yeye bila kujua akasema tukaongeze mbao. Mbao ikaongezwa na mwendo ukaenda wa bati akaja na idadi yake na mwisho yakaongezwa 7 katika hiyo idadi yake. Twende kazi mwisho wa siku kuna gape tena kumuuliza anadai fundi aliyejenga sio mtu mzuri alikuwa anataka hiyo kazi iwe yake.

Kumuuliza suluhisho akasema twende dukani, tukaenda dukani akaja na idadi yake tena nikaongeza 5 kwenye yake na mwisho wasiku likabaki bati moja. Mbona mtu alilia mwisho wa siku anadai ela yake.

Nikamuuliza fundi hapo alikuwa nan kati ya mm na yeye, akasema yeye mkadiriaji wa material ni nani? Akasema yeye sasa nikamuuliza fundi akikosea kukadiri mara ya kwanza na mara ya pili hii hasara yakununua material ambayo unauziwa kwa retail na si wholesale nani anailipa, akasema ni mimi kwakuwa site ni yakwangu... Kilichofata aliondoka mweupe mfukoni atajua aliwalipaje vibarua wake izo ni additional cost ambayo yeye mwenyewe ndio alijitengenezea.
Yaaap kwa upande wa maruerue ktk site inawezekana kabisa na ukicheza wanaokufanyia hicho kitendo utajikuta mnagawana nusu kwa nusu. Yani unamaliza ujenzi na yeye anamaliza ujenzi. Haaaaa duniani kuna mambo. Kwa upande mwingine yawezekena hakukuwa na uangalizi hivyo ulikuwa unapigwa. Ila yawezekena pia fundi hakuwa mkadiriaji mzuri. Ila la miujiza usilidharau, hata tofali unaweza kujikuta unagawana na wananzengo bila wewe kujua ingawa si lakutilia maanani 💯% ila lipo usidharau alichokuambia fundi.
 
Yaaap kwa upande wa maruerue ktk site inawezekana kabisa na ukicheza wanaokufanyia hicho kitendo utajikuta mnagawana nusu kwa nusu. Yani unamaliza ujenzi na yeye anamaliza ujenzi. Haaaaa duniani kuna mambo. Kwa upande mwingine yawezekena hakukuwa na uangalizi hivyo ulikuwa unapigwa. Ila yawezekena pia fundi hakuwa mkadiriaji mzuri. Ila la miujiza usilidharau, hata tofali unaweza kujikuta unagawana na wananzengo bila wewe kujua ingawa si lakutilia maanani 💯% ila lipo usidharau alichokuambia fundi.
Umenikumbusha kuna jamaa yangu aliukuwa na site moja sema yeye akawa yupo nje akawa ameniomba nimsimamie nyumban yake.. ikafika kipindi cha tiles nikapiga hesabu na fundi mwisho nikaongeza box 32 za tiles, mara pap jama akatuma ela nilichofanya kwenye hiyo idadi izo box nikaenda malizia eneo lililobaki nyumbani lililohitaji tile's....

Usipokuwa mjanja fundi anajenga na wewe tofali moja kwako moja kwako kufumba na kufumbua mnapauwa nae
 
Umenikumbusha kuna jamaa yangu aliukuwa na site moja sema yeye akawa yupo nje akawa ameniomba nimsimamie nyumban yake.. ikafika kipindi cha tiles nikapiga hesabu na fundi mwisho nikaongeza box 32 za tiles, mara pap jama akatuma ela nilichofanya kwenye hiyo idadi izo box nikaenda malizia eneo lililobaki nyumbani lililohitaji tile's....

Usipokuwa mjanja fundi anajenga na wewe tofali moja kwako moja kwako kufumba na kufumbua mnapauwa nae
Ha ha ha ha
 
Back
Top Bottom