Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

Binadam banaz Et nmekua Mke Bora sana kwake !!.


Sikia nikuambie Bob, Sisi wanaumez tukishajua tumesalitiwa, HUWA HATURUDISHI IMANI TENA !! .


yaan wiki Moja tu tayari ukaona umebanwa? Je ungekaa mwezi ?.


anakufatilia miezi minne, humtaki, ulishindwa kumshirikisha Mumeo?.

anakuita home, hukujua unaenda kuliwa??.



kwakua ,Mumeo alikupenda sana na umekiri alikua mwema Kwa Kila jambo, Basi binafsi nikutakie tu Ndoa ivunjike na kama haitovunjika, basi iwe ivoivo ya karaha siku zote za Maisha yako!!.
HUu ni ushauri toka MZINZI mwenye cheti chake mjini😂😂😂😂😂
 
Kwa hiyo brother hujawahi kucheat ???..

Kama wewe umeshawahi kucheat, ni ni kinakufanya uamini kuwa mtu mwingine anastahili kuishi maisha mabaya kwa kufanya dhambi unayoifanya tena proudly

Hii sio issue ya uanaume na uanamke, ni issue ya mtu ambaye alitenda kosa na kwa bahati mbaya kwa kuwa sio michezo yake ndio maana alikamatwa kirahisi

Ni roho ya mtu ambayo imekaa miaka ikiomba msamaha hadi ku acha kazi ili aijenge nyumba yake.. Wewe ushawahi kulipia gharama ya dhambi zako??..

Hakuna anaepinga kuwa alifanya makosa makubwa na hakuna anaeweza kuondosha makovu aliyoyasababisha but at least kaamua kukiri, kukubali na kulipia gharama ya dhambi zake..

Vipi kuhusu wewe mkuu, tukigeuza meza na kuangalia dhambi zako tena zenye nature hiyo hiyo.. Utaweza kujilaani na kuona mateso kwa life lako lote kama stahiki yako??....
Mwanamke akiazaa Kugongwaa nje ya ndoaa na Ukamsamehee aisee HAACHIII...NARUDIA HAACHI...!! atatafuta namna nzuri ya kufanya huo upuuzi wake.
 
We jamaa ujawaza mbali. Nimejaribu kuvaa uhusika wa mumewe, naoina nafsi ikiwa nyepesi tena kama hili litafanyika. Hakika linaweza kufaa
Yaani hili ndilo litakalotibu jeraha la mumewe.

Kuna mzee mmoja alichepuka na mke wa mwarabu; mwarabu akajua, halafu mbaya zaidi walikuwa wakiishi majirani. Kilichofanyika ni mke wa mwarabu kuungana na mumewe.
Jamaa alitumiwa pepo la kuparalaizi mwili; mwisho kazi ikafikia ukingoni, akawa ni mtu wa kusaidiwa kama mtoto mdogo; kwa sasa jamaa alishafariki, na mwarabu alitelekeza nyumba akahamia mji mwingine baada ya kurushiana makombora kuzidi.​
 
Na nyie muwe mnawapa wake zenu nafasi hata yakuwasikiliza ona sasa mpaka mke anafanya mazoe na wanaume wengine, mme unakuwa busy kumzidi hata pm
Hahahah kwani wote hawapewi nafasi au tabia za kishenzi tu
 
Mwanamke akiazaa Kugongwaa nje ya ndoaa na Ukamsamehee aisee HAACHIII...NARUDIA HAACHI...!! atatafuta namna nzuri ya kufanya huo upuuzi wake.
Naelewa brother Ila najaribu tu imagine kama mimi ndio nimefanya kitu then naanza kupokea hizi negative comments, sio poa..
 
Naelewa brother Ila najaribu tu imagine kama mimi ndio nimefanya kitu then naanza kupokea hizi negative comments, sio poa..
Kiufupi watu wanamshauri uhalisia bila kufichaa.. Unasikia Mwanamke kauliwaa.. juzi tu arusha mwanamke kangolewa jicho na meno mwanaume hajamuongelesha chochote kafika na kuanza kumzibuaaa! Haya yote ni ukweli kuwa mwanaume hawezi KUVUMILIA USALITII HAWEZIIII. either ajidhuru yeye au amdhuru huyo mwanamke so usalama hapa MWANAMKE AKUBALI KUACHIKA BHASI.
 
Habari za weekend, Jamani wanawake mwenzangu naombeni ushauri.

Mimi ni mama nina umri wa miaka 38 nina watoto 3.

Kwa ufupi mimi na mume wangu tulikuwa tunaishi kwa furaha sana, tena furaha sana, tulikuwa kila weekend lazima tutoke out na kufanya shopping za kawaida tuu. Tulikuwa ni watu wa furaha na visuprise kibao, na zawaidi sana tuu.

Nakili kwa kusema mume wangu alinipenda sana, kuna kipindi alininunulia gari la Toyota vixz ni kadogo hivi.

Na alikuwa ananijazia mafuta full mimi ni kujimwaga na watoto wangu mpaka basi. Alikuwa ni mtu wa kunifanyia surprise mpaka basi, na nakili katika siku zote hizo mume wangu sijawahi hisi anafanya lolote lile baya kwangu. Alikuwa ni mume mzuri na baba mzuri tuu.

Sasa shida ilianza sehemu niliokuwa nafanya kazi kulikuwa na mkaka mmoja nilizoeana nae kama mfanya kazi mwezangu tuu, lakini akaanza kunitongoza ,mimi nikamwambia kuwa ni mke wa mtu nina ndoa yangu ila yeye hakujali, na wakati wote huwo sijawahi kumsaliti mume wangu hata siku moja.

Alinishawishi sana mpaka nikawa naona kelo, nikawa simjibu lolote alinisumbua kama 4 months hivi. Sasa siku moja aliniazima laptop yangu achukue movie, mimi napenda sana movie so nadownload kwenye pc yangu. Lkn alienda nayo nyumbani kwake.

Nikamwambia mbona umeondoka nayo akasema njoo uje kuchukua home coz mimi mwenyewe pc yangu niliiacha home.

Mimi si nakaenda bhana , baada ya kufika kwake akanikalibisha home kwake ni sehemu mzuri tuu. Lkn akaanza kama anataka sexy na yalikuwa majira ya 10 kasolo jioni maana ndo mda natoka ofisini.

Sasa kwa mda hule nilikuwa sijakutana na my hubby kama 1 week coz alikuwa anaumwa. Alivyonishawishi nilipatawa na hisia nikajikuja tunafanya ngono japo nashukuru alitumia condom maana alikuwa nazo home kwake.

Ukweli kuwa shughuli ilikuwa kubwa maana nilikuja kujishitukia ilikuwa ni saa 2 kasolo jioni. Nikiaangalia simu yangu nakuta nakuta missed call kama 8 za mume wangu na na sms 6, akiwa ananiuliza upo wapi mbona upokei simu , sms ya mwisho aliniambia tu ushaanza uhongo.

Nilishituka nikaamua kumwambia mume wangu ananitafuta si unaona akajibu ka mwambie tuu ulikuwa kwenye kikao.

Akaniambia oga kwanza ndo uwende home mimi nikaamua kuoga pale nimemaliza kuoga na chukua nguo kuvaa nakuta sketi na chup* yangu imeloa nikaja kujua kuwa ni uteute wa uk* maana alinishika shika na sehemu za nje ya uk* wangu na kuniingiza vidogo.

So uteute ulikuwa mwingi mpaka sketi ya niliyotoka nayo home ilikuwa imelowa kwa nyuma.

Nilijuta sana usiku ule na mda ulikuwa ni kama saa 3 kasoro hivi ndo natoka pale nikamtumia sms nakuja mume wangu akanijibu sawa.

Nafika home nikakuta geti limefugwa nikashuka kwenye gari najaribu kufungua limefugwa nampigia njoo ufungue geti haongei na anakata simu, kwenye gari nilikuwa na kanga so nikachukua kanga nikajifunika ili my hubby asione sketi iliyolowa kwa nyuma.

Siku ile nilikaa nje mpaka saa 6 ndo akaja kunifungulia geti, akaniambia alikuwa anasubiri watoto walale kwanza.

Sasa kwa mshituko nilibaki natetemeka sana naingia ndani sina ujasili kabisa akaniuliza ulikuwa wapi , mimi nikamjibu tulikuwa kwenye kikao ila sorry kipenzi sikukuambia , akaniuliza tena ulikuwa wapi na kikao kilifanyika wapi mimi si nikamwambia ofisini.

Kumbe yeye alikuja ofisi saa 12 jioni. Akakuta ofisi imefungwa, mume wangu ajawahi kunizaba kibao alinipiga kibao kimoja kikali sana.

Nilipiga kelele Sasa ile nainuka kanga si ikanivuka, mume wangu akaniona nyuma nimelowa.

Alinishika na mimi nilikuwa sitaki anikague ila kwa vile yeye ni mwanaume alinishida nguvu, na kufanikiwa kuniangali na akajua kuwa nimemcheat.

Akaniacha mimi kwenda chumbani nimerudi sebuleni nimechukua simu yangu sms imeingia ya jamaa yule ananiuliz mume wako kakuzingua na samahani sana kwa haliyotokea.

Ile sijamaliza naendela kuperuzi akanipokonya simu na kosoma sms nyingi , kisha akasibitisha kuwa nimemcheat.

Alinifukuza nje na siku ile nilikaa nje ya nyumba mpaka asubui.

Nilijitahidi kumwamba msamaha ilishindikana nikaenda kwa rafiki mmoja ni mama mtu mzima nikamueleza basi akaamua kwenda kwa mume wangu kuongea nae ila ilishindikana. Nakumbuka ofisini sikwenda kama 2 weeks hivi.

Mume wangu si akafikisha mpaka kanisani kuwa anataka kuvunja ndoa niliitwa na watumishi na na kujaribu kuweka sawa ila aliendeleza na nia ya kuniacha na yeye alidai kapata maumivu makali kwa sababu hajawahi kunicheat.

Ugomvi ulifika mpaka kwa wazazi wetu wote wawili, ofisini kwa kipindi kile nikawa naenda siku moja moja huku nalia kila siku, yule mwanaume aliniuliza nikamwambia ndoa yangu imeingia Dosali aliniomba msahama tuu.

Ugomvi uliendela kama miezi 8 hivi, yeye aliendeleza msimamo wake hule hule.

Nilimuomba msahama sana na nikamuahidi sitarudia tena. Na nilijuta sana.

Ila mwishowe alikubali kupokea ushauri wa wazazi wake kuwa tuishi tuu ili kulinda maslai wa watoto.

Na yeye akasema kuwa kazini ndo kulimpelekea yote hayo. Mwishowe tulikubaliana mimi niache kazi na kuwa mama wa nyumbani. Nilikubali kuacha kazi na kuwa mama wa nyumbani kazi ya 550,000 kwa mwezi niliiacha.

Baada ya hio kesi mume wangu alibadilika sana home , alinichukua gari, kutola out kuliisha , surprise na vizawadi vingi vilipotea , na hakuwa mtu wa furaha tena tangu siku ile.
Mpaka leo ni kitu najuitia sana kwa kile kulitokea na hata yule jamaa nilimwambia naacha kazi kwa sababu ya ndoa yangu kwa tukio lile. Aliniomba tuu msamaha.

Nilijaribu kumshawishi mume wangu ili arudi kwa aliyake ya kawaida ila nilishidwa , niliamua kuwa mke bora kwake , kuangaika kumfurahisha ila ilishindika. Hata Sasa kwenye yendo simuoni kama anaenjoy kama hapo mwanzo maana tukiwa kwenye tendo mume wangu alikuwa ni mtu wa kunifurahia sana mpaka kuna kipindi machozi yanamtoka kwa furaha ya tendo. Ila kwa sasa hakuna kabisa.

Sasa wanawake wenzangu ni ishu imetokea 3.5 years ago na imeniathili sana tena sana.
NAOMBENI USHAURI JAMANI NIMRUDISHE MUME WANGU HUYU.

NIMEJUTA SANA KWA LILE. USHAURI TAFADHARI.
Hiyo ndio kazi ya shetani, mwanamke ukikosa heshima unavunja ndoa Kwa mikono yako. Yaliwahi kumkuta jamaa yangu mmoja, ndoa ilivunjika na mwanamke anaishi maisha ya tabu sana. Wanawake kuweni na akili na utashi wa kutunza ndoa. Hilo ni gumu Sana. Ingawa umeomba ushauri Kwa wanawake wenzako
 
Thanks dear.
Naumia sana kwani naamini still ana maumivu sana my hubby.
Naitaji awe mtu wa furaha kama mwanzo please wanawake wenzangu naombeni ushauri.
Unakosea sana kuomba ushauri kwa wanawake wenzio, maana tunaopaswa kukupa ushauri ni wanaume.

Huyo mumeo hawezi kufurahia tena sex, maana kila mnavyosex, inamjia taswiri kuwa ulikuwa unafanya hivyo hivyo Kwa mchepuko wako. Hapo ni mpaka yeye mwenyewe aamue kumove on, ndio ataweza kuheal, kinyume na hapo, jitihada zako zote ataziona kama maigizo.

Jaribu kutengeneza uwazi, kama simu yako ina password toa. Usiwe mtu wa kununa nuna. Usifanye chochote au kwenda popote bila approval yake
 
Unakosea sana kuomba ushauri kwa wanawake wenzio, maana tunaopaswa kukupa ushauri ni wanaume.

Huyo mumeo hawezi kufurahia tena sex, maana kila mnavyosex, inamjia taswiri kuwa ulikuwa unafanya hivyo hivyo Kwa mchepuko wako. Hapo ni mpaka yeye mwenyewe aamue kumove on, ndio ataweza kuheal, kinyume na hapo, jitihada zako zote ataziona kama maigizo.

Jaribu kutengeneza uwazi, kama simu yako ina password toa. Usiwe mtu wa kununa nuna. Usifanye chochote au kwenda popote bila approval yake
Alafu huyu dada alienda saa kumi na kushtuka saa mbili usiku, hayo walipanga na alikuwa tayari kuachana na jamaa. Ila atakuwa alibadili maamuzi. Akome kabisa
 
Back
Top Bottom