Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,814
- 156,950
HUu ni ushauri toka MZINZI mwenye cheti chake mjini😂😂😂😂😂Binadam banaz Et nmekua Mke Bora sana kwake !!.
Sikia nikuambie Bob, Sisi wanaumez tukishajua tumesalitiwa, HUWA HATURUDISHI IMANI TENA !! .
yaan wiki Moja tu tayari ukaona umebanwa? Je ungekaa mwezi ?.
anakufatilia miezi minne, humtaki, ulishindwa kumshirikisha Mumeo?.
anakuita home, hukujua unaenda kuliwa??.
kwakua ,Mumeo alikupenda sana na umekiri alikua mwema Kwa Kila jambo, Basi binafsi nikutakie tu Ndoa ivunjike na kama haitovunjika, basi iwe ivoivo ya karaha siku zote za Maisha yako!!.