Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 117
Habari zenu JF!
Si vibaya tukazoea kuweka kumb kumb kwa haya:
1- Wale wana ndoa baada ya ku do unaandika leo nime....mara....
2-Wale wasioa wakizini nao waandike leo nime .... Mara....
3- Hili naona litasaidia kujua na kugundua matatizo mengi utayohisi kuyapata kutoka kwa mwenzio.
Ikifanyika hivi kwani itakuaje?
Mtazamo tu!
Si vibaya tukazoea kuweka kumb kumb kwa haya:
1- Wale wana ndoa baada ya ku do unaandika leo nime....mara....
2-Wale wasioa wakizini nao waandike leo nime .... Mara....
3- Hili naona litasaidia kujua na kugundua matatizo mengi utayohisi kuyapata kutoka kwa mwenzio.
Ikifanyika hivi kwani itakuaje?
Mtazamo tu!