za dom singida nshaziona mkuu zile soo kabisa zimepigwa dongo juu chini.Nimegundua kuwa humu kuna watu wa dot com, hii ni nyumba ya maana sana, ebu nenda Dom, Singida nk, mbona hii ni ya kitajiri sana tena ina bati!!!!!! we vipi?????
he hee,mzee atakuwa mwalimu mkuu,au mwenyekiti wa kijiji au lodi fulani hivimkuu hizo nyumba za kawaida sana....
wiki mbili zilizopita nilikwenda kwetu mpwapwa....njiani kuna watanzania wenzetu wanaishi kwenye nyumba full udongo...zinaitwa tembe...bali hata hiyo nyumba yetu huko mpwapwa haina tofauti kubwa sana na hiyo kwenye picha..
unajua kwann tunafell mitihani?hatufati instruction"tumeulizwa umewahi kuishi mazingira hay?sio kutembelea
Mkuu Sumbalawinyo Kumbe wewe ni kibabu umezaliwa Mwaka 1931? Ehhhh kumbe humu JF kuna Vizeee kumbe kazi kweli ipo Una Miaka 79 EhhhHapa ndio mahali nilipozaliwa mwaka 1931
Kama ungekuwa umesoma michango ya wengi humu, ungekuwa umegundua kuwa wengi tumetoka katika mazingira yanayofanana na hayo au duni zaidi ya hayo.Naona hapo kidogo unakosea mh.. .. mh sema nimetoka mbali .... ..... teh teh teh .... Sio wote waliokulia katika mazingira kama hayo.