Du! hii kali, hv watz tumefikia hatua ya kuulizana kabila wkt wa interviw? hama kwel udn na ukbila havitatuacha salama!
Hiyo ni kweli.Kuna organization hawataki kusikia baadhi ya makabila kabisa!
Du! hii kali, hv watz tumefikia hatua ya kuulizana kabila wkt wa interviw? hama kwel udn na ukbila havitatuacha salama!
Ooh! Pole, mie mwenzako jana nimeambiwa your not handsome so will you use some cosmetics? Ili nishine kama wao! Nkawaambia ndio, nawaskilizia wakinipigia simu sipokei na siendi tena! Hahaha, bora niendelee kulima mboga zangu za majani tu shamba huku
Hiyo ni kweli.Kuna organization hawataki kusikia baadhi ya makabila kabisa!