Umeshawahi kukutana na swali hili kwenye interview?

chitanda.nyoka

Senior Member
May 3, 2012
193
43
naomba wana jf mnisaidie ujanja wa kufanya nnapokutana tena na swali kama hili maana nilipigiwa cm na kampuni inaitwa coseke ipo benjamini mkapa tower niliwahi kutuma maombi,nilianza kujiandaa nili download interview questions na jinsi ya kujibu na mengi ya hayo maswali niliulizwa kama nilivyosoma nikayajibu fresh hila swali la mwisho nikaulizwa hv ww kabila gani?nikawa namuangalia nikawa nataka nimwambie me mchaga coz jamaa meno yake km yameoza hl tuwe sawa,wakasema baada wk 3 watapga cm hadi leo mwez 2 kmya,mnaojiandaa na interview mjue interview questions kuna swali jipya mjue jinsi ya kulijibu
 
Kwa taarifa yako wachaga walio na rangi za meno ni wachache sana na ni wale wachafu au waliokulia mazingira yenye maji mabaya nje ya kilimanjaro.Maji ya Kilimanjaro ni masafi sana na mzuri kulinganisha na vuanzo vingi nchini.

Watu wengi walio na meno yenye rangi za meno wapo kuanzia Singida hadi Arusha.Na huko wachaga ni walowezi na si wengi.ambao maji yao yana flourides na madini mengine makali.

Kwa hiyo miscalculation zako zilikuponza.Walikuona mwongo kama CV yako ilisema tofauti.Ungechakua kabila ingine isiyojua hela zaidi ya ngono na msosi ili waamini kuwa watakushikilia muda mrefu kwa hela ndogo.
 
Kwa taarifa yako wachaga walio na rangi za meno ni wachache sana na ni wale wachafu au waliokulia mazingira yenye maji mabaya nje ya kilimanjaro.Maji ya Kilimanjaro ni masafi sana na mzuri kulinganisha na vuanzo vingi nchini.

Watu wengi walio na meno yenye rangi za meno wapo kuanzia Singida hadi Arusha.Na huko wachaga ni walowezi na si wengi.ambao maji yao yana flourides na madini mengine makali.

Kwa hiyo miscalculation zako zilikuponza.Walikuona mwongo kama CV yako ilisema tofauti.Ungechakua kabila ingine isiyojua hela zaidi ya ngono na msosi ili waamini kuwa watakushikilia muda mrefu kwa hela ndogo.
 
Du! hii kali, hv watz tumefikia hatua ya kuulizana kabila wkt wa interviw? hama kwel udn na ukbila havitatuacha salama!
 
Kwa taarifa yako wachaga walio na rangi za meno ni wachache sana na ni wale wachafu au waliokulia mazingira yenye maji mabaya nje ya kilimanjaro.Maji ya Kilimanjaro ni masafi sana na mzuri kulinganisha na vuanzo vingi nchini.

Watu wengi walio na meno yenye rangi za meno wapo kuanzia Singida hadi Arusha.Na huko wachaga ni walowezi na si wengi.ambao maji yao yana flourides na madini mengine makali.

Kwa hiyo miscalculation zako zilikuponza.Walikuona mwongo kama CV yako ilisema tofauti.Ungechakua kabila ingine isiyojua hela zaidi ya ngono na msosi ili waamini kuwa watakushikilia muda mrefu kwa hela ndogo.

najua kua makabila mengi yanahay
 
Kwa taarifa yako wachaga walio na rangi za meno ni wachache sana na ni wale wachafu au waliokulia mazingira yenye maji mabaya nje ya kilimanjaro.Maji ya Kilimanjaro ni masafi sana na mzuri kulinganisha na vuanzo vingi nchini.

Watu wengi walio na meno yenye rangi za meno wapo kuanzia Singida hadi Arusha.Na huko wachaga ni walowezi na si wengi.ambao maji yao yana flourides na madini mengine makali.

Kwa hiyo miscalculation zako zilikuponza.Walikuona mwongo kama CV yako ilisema tofauti.Ungechakua kabila ingine isiyojua hela zaidi ya ngono na msosi ili waamini kuwa watakushikilia muda mrefu kwa hela ndogo.

hivi machame na kibosho, uru na old moshi ni nje ya kilimanjaro?

Get your facts right before you post arawa
 
Ooh! Pole, mie mwenzako jana nimeambiwa your not handsome so will you use some cosmetics? Ili nishine kama wao! Nkawaambia ndio, nawaskilizia wakinipigia simu sipokei na siendi tena! Hahaha, bora niendelee kulima mboga zangu za majani tu shamba huku
 
Mkuu chitanda.nyoka umenikumbusha mbali sanaaa niliitwaga kwenye interview moja "AKIBA COMMERCIAL BANK" Head office niliulizwa mimi kabila gani?,Wazazi wangu wanafanya kazi gani,yaani ilikuwa kama kichekesho sijui hii nchi inaelekea wapi ????
 
Aisee katika maisha yangu ya kufanya interview sijawahi kuulizwa kabila.
 
kaka mm naomba hizo link za interview na namna ya kuijbu

ingia google kisha andika common interview questions and answer utachagua unayotaka,ukishapata hayo maswali kwenye google usisahau kuongeza na hili swali maana nalo limeshakua sehemu ya interview question 'which tribe are you?
 
hivi machame na kibosho, uru na old moshi ni nje ya kilimanjaro?

Get your facts right before you post arawa
ni wewe hujawa makini tuu.hujasoma btn lines.hujaona suala la uchafu katik posting?hao wanakunywa mbege na kubugia ugali hadi late night halafu wanatoboa hivyo hivyo, na asubuhi wanaweza shtua mswaki wa kubeep.Na ndio maana huwa wanchekana ila sehemu ka ar huwa hawachekani kwa vile tayari mazingira yanawaweka hivyo by default.

Labda hujawahi uliza kwanini Kilimanjaro ni maji yanayoaminika na kupendwa sana.Na kwa taarifa yako wazungu wengi waishio Arusha, huwa watoto wao huwa wanwapa maji ya chupa(kilimanjaro) au hata kupiga gari zao moto kila week hadi moshi,then huchukua maji na kuyaweka katik fridge na watoto kutumia nyumbani na kubeba shuleni kwa wk nzima.Hii ni kwa vile mara nyingi meno huaribika sana yanapotokeza na kukutana na flourides.

Uchafu na ulaji wa vyakula fulani huaribu meno ya watu dunia nzima.Kuanzis Russia, german, china,japan. canbondia,US, south amerika.Ila wengine uhusishwa na umasikini uliowafanya washindwe nunua dawa za meno, na wengine ni chocholate na matumbaku.Sijui ungemkuta mzungu kaoza meno ungmwita mchaga.
 
Kuna jamaa naona kakomaa na Wachagga...wenzake wanaelezea ishu za kazi naona yeye anahangaika kuelezea habari za meno...
Ee bwana ndugu muanzisha thread,ishu ya kuulizwa makabila ipo sana mkuu, kuna vitengo au ofisi wanapeana kazi kutegemeana na makabila au ukanda ili usije kuwa kikwazo. Jaribu kuangalia makampuni ya bia utagundua wengi wa wafanyakazi ni kutoka Uchaggani
 
Ooh! Pole, mie mwenzako jana nimeambiwa your not handsome so will you use some cosmetics? Ili nishine kama wao! Nkawaambia ndio, nawaskilizia wakinipigia simu sipokei na siendi tena! Hahaha, bora niendelee kulima mboga zangu za majani tu shamba huku

ilikua kaz gan?au benk maana kama co hb ndo wanaponda,this is very stpd
 
Hivi na wewe unamaanisha hayo maeneo yote uliyotaja hapo ndio wenye meno ya rangi?????hao lazima watakuwa walilowea arusha au sehemu nyingine zenye maji mabaya ila hayo maeneo yana maji safiiii na matamu kutoka mlimani direct,..maeeeee nkikiiiii

hivi machame na kibosho, uru na old moshi ni nje ya kilimanjaro?

Get your facts right before you post arawa
 
Back
Top Bottom