Umeipata hii kali ya huko Mbeya Wazee huko wanajichukulia visichana vidogo vya primary na vimepewa jina ati wanadai kupata chanjo ni kuvimega visichana vidogo.
Tafakari nzuri kwa kujiandaa na "SIKU YA UKIMWI DUNIANI"....Yaani pamoja na matangazo yote,mahubiri yote na ma-NGO yote bado hao wazee wa Mbeya wanatafuta 'chanjo' kwa watoto wadogo...long way to go against HIV/AIDS
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.